Mradi kukabili mabadiliko ya tabianchi kunufaisha shule
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba amesema katika jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na athari zake, ofisi yake imeandaa mradi utakaonufaisha shule za msingi katika wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Nchi zatakiwa kukabili mabadiliko tabianchi
NCHI zinazoendelea zimetakiwa kuongeza rasilimali fedha za hali ya hewa tofauti na fedha za Msaada wa Maendeleo rasmi ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Hayo yalisemwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-avBXUBeVUoo/VXqgdqvdtgI/AAAAAAAHe4E/zr_qDLlFgtY/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
ARUMERU WAPATA MAFUNZO YA KUKABILI MAAFA YATOKANAYO NA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-avBXUBeVUoo/VXqgdqvdtgI/AAAAAAAHe4E/zr_qDLlFgtY/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9BSe6kyzm8I/VXqgdkk9p7I/AAAAAAAHe4M/w6Dwihi9k2s/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
UN wazindua mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi, Chamwino Dodoma
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Mpango wa Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akipanda mti kama ishara ya uhifadhi mazingira baada ya kuzindua mradi wa kupunguza na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia nishati jadidifu ya jua (Mitigating Climate change in vulnerable communities of Dodoma region, Machali village, Chamwino District), katika Kijiji cha Machali A, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma katika utekelezaji wa moja kati ya...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
UNDP yakabidhi mradi wa dola za marekani 150,000 wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kijiji cha Chamwino
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo akikata utepe kuzindua Kisima cha maji safi na salama katika kijiji cha Machali A wilayani Chamwino mkoa wa Dodoma mwishoni mwa juma lililopita.
Na Modewjiblog team, Chamwino
KIJIJI cha Manchali kilichopo wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, kimekabidhiwa mradi wa dola za Marekani 150,000 wenye lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.
Mradi huo ulikabidhiwa kijiji hicho na Mratibu wa mashirika ya Umoja wa...
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Mradi wa maji SBL kunufaisha Temeke
SEKTA ya afya nchini imezidi kupata msukumo baada ya kuzinduliwa kwa mradi wa maji katika zahanati ya Mkamba, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam. Mradi huo uliozinduliwa jana ulifanikiwa baada...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mradi wa ACRA kunufaisha Wazanzibari 15,000
ZAIDI ya watu 15,000 watafaidika na mradi wa pamoja baina ya Jumuiya ya Hifadhi ya Mji Mkongwe na Jumuiya ya ACRA utakaoanza hivi karibuni ili kuendeleza Mji Mkongwe. Hayo yalibainishwa na Mohammed...
11 years ago
Habarileo25 Feb
Serikali kukabili tatizo la tabianchi
SERIKALI imesema bado inategemea fedha zaidi kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo ili kufanya mambo mengi zaidi katika kukabiliana na tatizo la tabianchi, ambalo kwa sasa limezikumba nchi nyingi duniani.
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Mtandao wa Halotel kunufaisha shule 300,000
11 years ago
Habarileo21 May
Mfuko wa mabadiliko ya tabianchi kuanzishwa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inatarajia kuanzisha Mfuko wa Fedha kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ambayo miongoni mwa athari zake ni uharibifu wa mazingira.