Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtandao wa Halotel kunufaisha shule 300,000

Shule 300,000 nchini zinatarajiwa kupata huduma ya intaneti bure iwapo zitatumia mtandao mpya wa simu wa Halotel.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

DC Singida azindua duka jipya la kisasa la mtandao wa simu za mkononi la Halotel

utepe

Mkuu wa Wilaya ya Singida, Said Amanzi akikata utepe kuzindua duka jipya la mtandao mpya wa simu za Mkononi wa Halotel katika hafla fupi ya uzinduzi wa duka hilo uliofanyika jana kwenye viwanja vya ofisi za kampuni hiyo eneo la Stendi ya zamani.

dc

Mkuu wa Wilaya ya Singida Saidi Amanzi akizungumza na wafanyakazi wa Halotel kabla ya kukata utepe kuzindua duka jipya Mkoani Singida jana.

MD

Mkurugenzi wa kampuni ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania, Khanh Duy akimwelekeza Mkuu wa Wilaya ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa ACRA kunufaisha Wazanzibari 15,000

ZAIDI ya watu 15,000 watafaidika na mradi wa pamoja baina ya Jumuiya ya Hifadhi ya Mji Mkongwe na Jumuiya ya ACRA utakaoanza hivi karibuni ili kuendeleza Mji Mkongwe.  Hayo yalibainishwa na Mohammed...

 

9 years ago

Dewji Blog

Halotel kufikisha mtandao kwa asilimia 95 ya watanzania hadi mwishoni mwa mwaka 2016

1

Naibu Mkurugenzi wa Kampuni ya mawasiliano ya Halotel, Le Van Dai akizungumza na wanahabari katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam leo kuhusuiana na mtandao huo kutanua huduama zake hadi kufikia asimimia 95 ya watazanzania. Wanaoshuhudia ni Naibu Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Emanuel Malyeta (kushoto), na kulia kwake ni mwanasheria wa kampuni hiyo,Christopher Masai.

4

Naibu Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Halotel, Emanuel Malyeta akifafanunua jambo kwa waandishi wa habari....

 

10 years ago

Bongo5

Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots

Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa Naija amezawadiwa $350,000 sawa na zaidi ya milioni 600 kutoka kwa shabiki wake bilionea. Idris (kushoto) akiwa na Tayo (kulia) Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua […]

 

5 years ago

Habarileo

Mradi kukabili mabadiliko ya tabianchi kunufaisha shule

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba amesema katika jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na athari zake, ofisi yake imeandaa mradi utakaonufaisha shule za msingi katika wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

 

10 years ago

BBC

'No aid for 300,000' in South Sudan

More than 300,000 people are without "life-saving" aid in South Sudan's oil-rich Unity state after heavy fighting forces aid agencies to withdraw, the UN says.

 

9 years ago

TheCitizen

Over 300,000 voters struck off the register

The National Electoral Commission (NEC) announced yesterday that 23.7 million Tanzanians will be eligible to vote in next month’s General Election.They are among 24,001,134 people who were listed during the biometric voter registration  countrywide earlier this year.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa posho Sh 300,000

Mbunge wa Sumve, Richard NdassaWAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai posho nono.

 

9 years ago

TheCitizen

TZ losing 300,000 hectares of forest annually

Dar es Salaam. A report by Finish-funded National Forest Resources Monitoring and Assessment group (Naforma), shows that Tanzania is losing more than 300,000 hectares of forest annually.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani