Teknolojia ya TOR: Mbinu mpya ya kupambana na ujangili wa wanyamapori
Ujangili wa wanyamapori umekuwa tatizo sugu Tanzania. Ujangili huo umepunguza idadi ya tembo nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Aug
Teknolojia mpya kusaidia vita dhidi ya ujangili
10 years ago
Michuzi.jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Teknolojia ya kisasa kukabili wanyamapori waharibifu
WIZARA ya Maliasili na Utalii iko katika mazungumzo na kampuni moja kwa kushirikisha jamii ili kuweza kutumia teknolojia ya kisasa kukabiliana na wanyamapori wanaoharibu mazao. Waziri wa Maliasili na Utalii,...
9 years ago
StarTV23 Nov
Nchi za Afrika zatakiwa kushirikiana kuukabiliana na Ujangili Wa Wanyamapori
Serikali imesema nchi zilizo bara la Afrika hazina budi kushirikiana kukabiliana na wimbi kubwa la ujangili wa wanyamapori kutokana na kuendelea kuuawa kwa wanyama kama tembo na Faru.
Takwimu zinaonyesha kuwa Tembo wanazidi kupungua kila mwaka kutokana na kuwepo kwa soko la biashara ya pembe za ndovu katika nchi za ughaibuni.
Takwimu zinaonyesha kuwa tangu mwaka 1980 zaidi ya Tembo elfu 70 wameuawa na majangili katika hifadhi mbalimbali za wanayamapori hapa nchini.
Na takwimu za shirika la...
11 years ago
MichuziWASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA UNAOLENGA MALIASILI WATOA MICHANGO YAO KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI.
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Tumeshindwa kupambana na ujangili?
KATIKA gazeti hili jana, kulikuwa na taarifa ya watu sita wanaodhaniwa majangili wamekamatwa na meno ya tembo 53 yenye kilo 169.7, wakiwa na silaha aina ya SMG yenye magazine tatu...
11 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Mpango kupambana na ujangili wazinduliwa
WIZARA ya Maliasili na Utalii imezindua mpango mkakati wa kimataifa wa kupambana na ujangili wa meno ya tembo na kujipanga kimkakati ili kukamilisha mchakato wa kuanzishwa kwa Mamlaka ya Hifadhi...
11 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Afrika Mashariki kupambana na ujangili
KATIKA juhudi za kupambana na ujangili nchini, Tanzania inatarajiwa kusaini makubaliano na nchi za Afrika Mashariki ili kuweza kuzuia na kuwachukulia hatua wanaojihusisha na biashara hiyo. Akizungumza wakati wa kutoa...
10 years ago
Michuzi
WWF KUPAMBANA NA UJANGILI NCHINI
Akikabidhi vifaa hivyo Novemba 27, 2014 jijini Dar es Salaam kwa Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa...