Mpango kupambana na ujangili wazinduliwa
WIZARA ya Maliasili na Utalii imezindua mpango mkakati wa kimataifa wa kupambana na ujangili wa meno ya tembo na kujipanga kimkakati ili kukamilisha mchakato wa kuanzishwa kwa Mamlaka ya Hifadhi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7zRtwDA0Shs/VQ_hgtHGS6I/AAAAAAAHMWE/Ls4U0PVIKi4/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
11 years ago
MichuziWASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA UNAOLENGA MALIASILI WATOA MICHANGO YAO KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mpango kukomesha ukatili kwa watoto wazinduliwa
SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali imezindua mpango wa pamoja wa kukomesha ukatili dhidi ya watoto. Akizungumza katika uzinduzi huo jijini Dar es Salaam jana, Mwakilishi wa Shirika...
10 years ago
Habarileo08 Jun
Mpango mpya kusimamia dawa, vifaa tiba wazinduliwa
SERIKALI imezindua mpango wa kusimamia upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa njia za kielektroniki ili kuboresha na kumaliza manung’uniko ya watu kuhusiana na tatizo hilo.
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Tumeshindwa kupambana na ujangili?
KATIKA gazeti hili jana, kulikuwa na taarifa ya watu sita wanaodhaniwa majangili wamekamatwa na meno ya tembo 53 yenye kilo 169.7, wakiwa na silaha aina ya SMG yenye magazine tatu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--3EC08rXxKU/Xphq23SOUrI/AAAAAAAC3Mo/FmCQtloLMuEgDOElow_rYNwaHuMyPIj7QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MPANGO MAALUMU WA KUTOA ELIMU YA AFYA DAR ES SALAAM WAZINDULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/--3EC08rXxKU/Xphq23SOUrI/AAAAAAAC3Mo/FmCQtloLMuEgDOElow_rYNwaHuMyPIj7QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Serikali imezindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa umma katika Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na kuwapo kwa ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Corona ikiwa ni mwendelezo wa kuwafikia watu wengi katika ngazi ya mtaa.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizundua mpango wa elimu ya afya kwa umma kwa siku 20 ambao utaongozwa na vikundi vya kijamii kwa kushirikiana na Red Cross chini ya Wizara ya Afya.
Waziri...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nAag5yWxnos/VCE7351ySII/AAAAAAAGlRc/VpUHMukxnu4/s72-c/OIgmRtI9pquvhDFa9xYBtJvJ7MXLntf1RBTstF0uCRA%2CQ--Xdo6Ne5v9Y63CMSNvFgrX2JRw0sbqEsWCwCADVt8.jpeg)
MPANGO WA AWAMU YA PILI WA UTEKELEZAJI WA MAENDELEO YA SEKTA YA MAJI WAZINDULIWA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nAag5yWxnos/VCE7351ySII/AAAAAAAGlRc/VpUHMukxnu4/s1600/OIgmRtI9pquvhDFa9xYBtJvJ7MXLntf1RBTstF0uCRA%2CQ--Xdo6Ne5v9Y63CMSNvFgrX2JRw0sbqEsWCwCADVt8.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-97ppZqyCtmI/VCE7agrcYhI/AAAAAAAGlQ8/0pM-UI_pPJg/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Mbogo Futakamba, akisoma hotuba katika uzinduzi rasmi wa Mpango wa Awamu ya Pili ya Utekelezaji wa Maendeleo ya Sekta ya Maji, akiwa na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Philippe Dongier.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gwE0f1YC6DY/VCE7cJuAmvI/AAAAAAAGlRU/hSEgCCHB2Ns/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1CWLyIsg6qU/VHgtHLF1XQI/AAAAAAACvf8/DUbDCYoMoiU/s72-c/001.jpg)
WWF KUPAMBANA NA UJANGILI NCHINI
Akikabidhi vifaa hivyo Novemba 27, 2014 jijini Dar es Salaam kwa Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Afrika Mashariki kupambana na ujangili
KATIKA juhudi za kupambana na ujangili nchini, Tanzania inatarajiwa kusaini makubaliano na nchi za Afrika Mashariki ili kuweza kuzuia na kuwachukulia hatua wanaojihusisha na biashara hiyo. Akizungumza wakati wa kutoa...