MPANGO WA AWAMU YA PILI WA UTEKELEZAJI WA MAENDELEO YA SEKTA YA MAJI WAZINDULIWA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nAag5yWxnos/VCE7351ySII/AAAAAAAGlRc/VpUHMukxnu4/s72-c/OIgmRtI9pquvhDFa9xYBtJvJ7MXLntf1RBTstF0uCRA%2CQ--Xdo6Ne5v9Y63CMSNvFgrX2JRw0sbqEsWCwCADVt8.jpeg)
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Philippe Dongier wakikata utepe kuzindua rasmi Mpango wa Awamu ya Pili ya Utekelezaji wa Maendeleo ya Sekta ya Maji.
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Mbogo Futakamba, akisoma hotuba katika uzinduzi rasmi wa Mpango wa Awamu ya Pili ya Utekelezaji wa Maendeleo ya Sekta ya Maji, akiwa na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Philippe Dongier.Waziri wa Maji, Prof....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Wizara ya Fedha yakutana na uongozi wa MCC kujadili utekelezaji awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania
Wizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania. Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue naye alikuwepo katika ujumbe huo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Mkuu wa mambo ya uchumi wa Mfuko wa changamoto za milenia. Wakiwa pamoja na Kamishna wa Fedha za Nje Bw. Saidi Ngosha Magonya.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na...
10 years ago
Habarileo30 Nov
Pinda aahidi utekelezaji mpango wa maendeleo ya taifa
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameahidi serikali kutekeleza ushauri wote uliotolewa na wabunge wakati wa kujadili mapendekezo yaliyowasilishwa na Serikali kuhusu Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2015/2016.
10 years ago
MichuziWizara ya nishati na madini yatangaza utoaji ruzuku awamu ya pili, kwa wachimbaji wadogo, BRN kupima utekelezaji, tathmini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ST0P_GFGOqU/Xs5BmLnKRfI/AAAAAAALrsU/CxmCbcudBPAAzDX66yJgqNazYiCEm699gCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF KUANZA UTEKELEZAJI WA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YAKE YA TATU NCHINI KOTE.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii- TASAF umekamilisha mipango itakayowezesha kuanza kwa utekelezaji wa Kipindi cha Pili cha Awamu yake ya TATU kufuatia uzinduzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ,Ladislaus Mwamanga amekutana na Wandishi wa Habari jijini Dar es salaam na kuwajulisha kuwa mipango ya kuanza utekelezaji wa kipindi cha pili ambayo imezingatia maelekezo ya Serikali inaelekea kukamilika.
Mkurugenzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rGEMXD7NWqI/XkqbpusF9yI/AAAAAAALdvk/Mgd4NOeY6GEutgHarwHyfNmY7kDAzQsvACLcBGAsYHQ/s72-c/c71793d9-4f31-4596-b823-50f2ed7faf20.jpg)
Rais Dkt. Magufuli azindua Kipindi cha Pili cha Awamu ya tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa TASAF III
![](https://1.bp.blogspot.com/-rGEMXD7NWqI/XkqbpusF9yI/AAAAAAALdvk/Mgd4NOeY6GEutgHarwHyfNmY7kDAzQsvACLcBGAsYHQ/s640/c71793d9-4f31-4596-b823-50f2ed7faf20.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/58507fab-bb46-4bcf-8f07-b80dd518011e.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/a8c0aa49-06d2-4e46-8612-2a5b7a6a76aa.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akikata utepe kuzindua Kipindi cha awamu...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA WA BARABARA YA MKAPA AWAMU YA PILI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cxd6Ymt_sYs/VMywkVF5c2I/AAAAAAAHAgA/09DW3oEOhus/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cxd6Ymt_sYs/VMywkVF5c2I/AAAAAAAHAgA/09DW3oEOhus/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3a417g2wFyw/VMywc-Ek_yI/AAAAAAAHAf4/nRPrFqscG4A/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rBtvKRurUGI/VMywoulaVMI/AAAAAAAHAgU/rxnhJgCeMmg/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Tanzania kuongoza utekelezaji wa malengo mapya ya maendeleo duniani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano wa 70 wa Umoja wa Maiataifa akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula.
-Imeteuliwa mongoni mwa nchi nane tu duniani kufanya kazi hiyo
-Rais Kikwete amesema kuwa Tanzania iko tayari kuifanya kazi hiyo
Tanzania ni...
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Mradi wa maji wa sh Milioni 343 wazinduliwa kijiji cha Mabogini, RC Makalla ataka vyanzo vya maji vitunzwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-sq8hYuBdAsQ/VnqQ4oM226I/AAAAAAAAJWU/RsmzTklLDGg/s640/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla mwenye miwani akizindua huduma ya maji katika kijiji cha Mabogini, mkoani Kilimanjaro wenye thamani ya Sh Milioni 343.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
ZAIDI ya wananchi 3000 wa kijiji cha Mabogini, kitongoji cha Shabaha, mkoani Kilimanjaro, watanufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kupelekewa mradi wenye thamani ya Sh Milioni 343. Mradi huo uliozinduliwa jana na Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, umesimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi...