Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makinda aitaka Serikali kutekeleza bajeti 2015/16

Spika wa Bunge, Anna Makinda.SPIKA Anne Makinda ameitaka Serikali kuhakikisha bajeti ya mwaka 2015/16 inatekelezwa ipasavyo. Makinda alitoa kauli hiyo bungeni mjini hapa jana wakati alipokuwa akiahirisha Bunge muda mfupi baada ya Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum, kumaliza kusoma bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali yashindwa kutekeleza bajeti 2013/14

>Zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza kwa Bunge la Bajeti, Serikali imeshindwa kutekeleza bajeti ya mwaka 2013/14 kutokana na kukosa fedha na hivyo kusababisha miradi mbalimbali katika halmashauri nchini kukwama.

 

11 years ago

Dewji Blog

JK aitaka jumuiya ya kimataifa kutekeleza malengo ya milenia kikamilifu

Jakaya-Kikwete1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa  kuhakikisha kuwa malengo ya milenia yanatekelezwa kwa  ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza,  kabla ya kuweka malengo mengine duniani.

Rais Kikwete ametoa ushauri huo  tarehe 28 Mei,2014 mwanzoni mwa  mkutano wa kimataifa unaohusu Afya ya Mama  na Mtoto jijini Toronto Canada, ambapo alikuwa akijibu maswali kuhusu matokeo ya malengo ya milenia kuelekea mwisho wa muda wa kuyatekeleza mwakani 2015.

“Tukamilishe...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa waionya Serikali bajeti 2015/16

Dodoma\Dar. Siku moja baada ya Waziri wa Fedha, Saada Mkuya kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2015/16, Waziri wa Fedha Kivuli, James Mbatia amesema watawasilisha bajeti yao ambayo kama Serikali itaipuuza, itawagharimu. Mkuya aliwasilisha Bajeti ya Serikali ambayo makadirio yake ni Sh22.4 trilioni.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ianze kutayarisha Bajeti ya 2015/16

Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka ujao wa fedha ilipitishwa bungeni juzi baada ya wabunge kuijadili kwa siku saba.

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/16

SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBARMHE. OMAR YUSSUF MZEE          WAZIRI WA FEDHA         

ZANZIBAR          



A. UTANGULIZI                                                                                                                                 
1.            Mheshimiwa Spika, kama ilivyo ada kwetu sisi waumini, naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyenzi Mungu muumba wa mbingu na ardhi kwa kutujaalia neema ya uhai na afya zilizotuwezesha kukutana hapa. Baada ya kumshukuru Mwenyezi Mungu, naomba...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Waziri Wassira ataja vipaumbele vya Serikali

>Serikali imetaja vipaumbele vyake katika mpango wa maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni nishati, uchukuzi, kilimo, elimu, maji na utafutaji wa rasilimali fedha.

 

10 years ago

GPL

BUNGE LA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2015/16 LAANZA MJINI DODOMA

MKUTANO wa 20 na wa mwisho wa Bunge la 10 ambalo litapitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2015/16 tayari umeanza mjini Dodoma asubuhi hii. Wabunge watachangia bajeti za wizara na Bajeti Kuu ya Serikali ndani ya siku 44 ikilinganishwa na siku 56 zilizotumika kupitisha bajeti ya mwaka 2014/15 na miaka ya nyuma na bunge hilo litamalizika Juni 27. Badala ya Bunge kuanza saa 3.00 asubuhi hadi saa 7.00 mchana na baadaye saa 11...

 

11 years ago

GPL

BAJETI KUU YA SERIKALI: TAKRIBANI SH. TRIL. 19. 7 ZATARAJIWA KUTUMIKA MWAKA 2014/2015

Spika wa Bunge la Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda akiwaasa wabunge wote kushiriki kikamilifu katika kamati zao kizalendo kwa kujali nchi yao ili ipatikane bajeti yenye tija kwa taifa leo (jana) wakati wa kupokea taarifa ya Wizara ya fedha jijini Dar es salaam. Waziri wa Fedha Saada Mkuya  Salum akiwasilisha taarifa ya sura ya Bajeti kuu ya Serikali kwa wabunge leo (jana)  jijini Dar es salaam… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani