Serikali yashindwa kutekeleza bajeti 2013/14
>Zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza kwa Bunge la Bajeti, Serikali imeshindwa kutekeleza bajeti ya mwaka 2013/14 kutokana na kukosa fedha na hivyo kusababisha miradi mbalimbali katika halmashauri nchini kukwama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Habarileo12 Jun
Makinda aitaka Serikali kutekeleza bajeti 2015/16
SPIKA Anne Makinda ameitaka Serikali kuhakikisha bajeti ya mwaka 2015/16 inatekelezwa ipasavyo. Makinda alitoa kauli hiyo bungeni mjini hapa jana wakati alipokuwa akiahirisha Bunge muda mfupi baada ya Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum, kumaliza kusoma bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Serikali yashindwa kupinga rufaa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
10 years ago
StarTV09 Jan
Serikali yatuhumiwa kushindwa kutekeleza mapendekezo.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete ameapisha safu ya uongozi ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakati mwenyekiti mstaafu wa Tume hiyo Jaji Kiongozi Mstaafu Amir Manento akiishutumu Serikali kushindwa kutekeleza baadhi ya mapendekezo ya Tume hiyo hatua inayochukuliwa kama ni uvunjwaji wa haki za msingi za binadamu.
Kuapishwa kwa Tume hiyo kunakuja wakati ambapo wanaharakati wa haki za binadamu wakilalamikia kucheleweshwa kwa uteuzi wa makamishna hao na kupunguza...
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Serikali kutekeleza ahadi za Mgimwa jimboni kwake
10 years ago
Habarileo25 Feb
Washauri serikali kutekeleza sera ya ujirani mwema
WADAU na vijana mkoani Kilimanjaro, wameishauri serikali kutekeleza sera ya ujirani mwema ya mwaka 1993-1994, ambayo inazungumzia majukumu ya hifadhi za utalii katika kuchangia maendeleo kwenye maeneo yanayozunguka hifadhi hizo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nJLpogASdOs/VUkzgC-z1lI/AAAAAAAHVnM/XNH-On_nU34/s72-c/IMG-20150505-WA032.jpg)
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay aanza kutekeleza ahadi
![](http://1.bp.blogspot.com/-nJLpogASdOs/VUkzgC-z1lI/AAAAAAAHVnM/XNH-On_nU34/s640/IMG-20150505-WA032.jpg)
10 years ago
Mtanzania23 May
Serikali yatakiwa kukiri kushindwa kutekeleza ahadi zake
Na Debora Sanja, Dodoma
MBUNGE wa Ole, Rajab Mbarouk Mohamed (CUF), ameitaka Serikali kukiri kushindwa kutekeleza ahadi za Rais Jakaya Kikwete kwa kuwa muda wa utekelezaji wake umekwisha.
Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, alisema kitendo cha Serikali kushindwa kukamilisha ahadi ya Kikwete ya kujenga barabara ya kilomita 2.5 ya Singano kwa Mkocho hadi Kivinje ni dalili ya kushindwa kwa Serikali hiyo.
“Kwanini Serikali hii ya CCM sasa isiwathibitishie wananchi kwamba imeshindwa...