Washauri serikali kutekeleza sera ya ujirani mwema
WADAU na vijana mkoani Kilimanjaro, wameishauri serikali kutekeleza sera ya ujirani mwema ya mwaka 1993-1994, ambayo inazungumzia majukumu ya hifadhi za utalii katika kuchangia maendeleo kwenye maeneo yanayozunguka hifadhi hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Gx45Cd3cStI/VSLCV-gQdiI/AAAAAAABq_A/1VMXmTOVDs4/s72-c/222.jpg)
MKUTANO WA UJIRANI MWEMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gx45Cd3cStI/VSLCV-gQdiI/AAAAAAABq_A/1VMXmTOVDs4/s640/222.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kQMA-tPP7hs/VSLCVpNfMgI/AAAAAAABq-8/C89wBzPzJjU/s640/225.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iBPmcbnWrko/VSLCVx9F4KI/AAAAAAABq_E/IhHHLgd0jAU/s640/229.jpg)
9 years ago
Habarileo19 Aug
TPDC, Tanesco washauriwa ujirani mwema
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amewataka wataalamu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kupitia kampuni tanzu ya Usambazaji Gesi (Gasco) pamoja na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuhakikisha kuwa wanashirikisha wananchi katika utekelezaji wa miradi ya nishati.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-41K69ezZD8o/U1oJ9jgBTQI/AAAAAAAFc7k/YNiu8lR1m8s/s72-c/DSC_0063.jpg)
Kanisa la ujirani mwema Bunge Dodoma labarikiwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-41K69ezZD8o/U1oJ9jgBTQI/AAAAAAAFc7k/YNiu8lR1m8s/s1600/DSC_0063.jpg)
Ibada hiyo iliyohudhuriwa na Spika Mstaafu,Mhe.Pius Msekwa na Mke wake Mhe Anna Abdallah pia ilihudhuriwa na mke wa Waziri mkuu mama Tunu Pinda pamoja na baadhi ya mawaziri na watumishi wa Ofisi ya Bunge.
Ibada hiyo ilifannyika katika ukumbi mdogo uliopo Gorofani katika ukumbi wa Msekwa uliokuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7VoqCAfnnyI/XlrN5fyVtBI/AAAAAAALgLk/EpxwaMKAeiQKyQEq66YrAkLMkp_sY_RygCLcBGAsYHQ/s72-c/ef9a983d-343c-4c19-9776-1b557e4926a3.jpg)
Dkt Manongi atembelea miradi ya ujirani mwema inayofadhiliwa na NCAA .
Miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa kituo cha Afya cha Arash kilichopo Loliondo ambapo NCAA imetoa mchango wa Shilingi Milioni 100 kusaidia ujenzi huo.
Dkt Manongi aliyeongozana na Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe. Rashid Taka pia walitembelea ...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--Ftdd71Pfe8/VXEUmbTxpoI/AAAAAAAAQbs/0LEBciHLlgg/s72-c/E86A9272%2B%2528800x533%2529.jpg)
MRADI WA UJIRANI MWEMA ULIOTOLEWA NA HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA (TANAPA)
![](http://4.bp.blogspot.com/--Ftdd71Pfe8/VXEUmbTxpoI/AAAAAAAAQbs/0LEBciHLlgg/s640/E86A9272%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YXqZcdi_dc0/VXEUmVRB6yI/AAAAAAAAQbk/7Gf4yNVatsE/s640/E86A9273%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wKw_WmxUU3I/VXEUlylwyeI/AAAAAAAAQbg/eKHasjv6fBc/s640/E86A9285%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXcTO2kK-mE/VXEUq1BIXSI/AAAAAAAAQb4/RYO8Yg0WQ7w/s640/E86A9286%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
GPLKINAMAMA ‘UJIRANI MWEMA MBEZI’ WAWASAIDIA YATIMA WA CHANIKA
11 years ago
MichuziMIJADALA YA UTALII,UHIFADHI,UJANGILI NA UJIRANI MWEMA WATAWALA KONGAMANO LA TANAPA NA WAHARIRI
11 years ago
MichuziWana Familia wa Kikundi cha ujirani mwema Ndachi, Dodoma walivyoisherehekea sikukuu ya Pasaka
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kupitia ujirani mwema wakabidhi mradi wa maji katika kijiji cha Ashira wilaya ya Moshi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cfi2vLT82Tw/VW6DYoaB8rI/AAAAAAAAQTY/s9NpqO6vhNw/s640/E86A9060%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M0oJ0hsnqRg/VW6DjBCAk2I/AAAAAAAAQUg/CynatgvE-xk/s640/E86A9108%2B%2528800x450%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xKmu2jaHWfI/VW6DjwzVRgI/AAAAAAAAQUs/u782CEaSjJk/s640/E86A9116%2B%2528800x533%2529.jpg)