Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa waionya Serikali bajeti 2015/16

Dodoma\Dar. Siku moja baada ya Waziri wa Fedha, Saada Mkuya kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2015/16, Waziri wa Fedha Kivuli, James Mbatia amesema watawasilisha bajeti yao ambayo kama Serikali itaipuuza, itawagharimu. Mkuya aliwasilisha Bajeti ya Serikali ambayo makadirio yake ni Sh22.4 trilioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ukawa wairarua bajeti ya Serikali

mbatiano maoni ya upinzaniNA ARODIA PETER, Dodoma
KAMBI rasmi ya upinzani bungeni imeirarua bajeti ya Serikali na kuainisha mambo mbalimbali yatakayokwamisha utekelezaji wake.
Mbali na hayo, hotuba ya Ukawa ilitoa mchanganuo unaoonyesha kwamba kutokana na ukuaji wa deni la taifa, kila Mtanzania kwa sasa anadaiwa zaidi ya Sh 800,000.
Akisoma hotuba ya kambi hiyo bungeni jana, Msemaji wa Kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa Wizara ya Fedha, James Mbatia alisema si sahihi Serikali kujigamba kuwa mwaka huu bajeti...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ianze kutayarisha Bajeti ya 2015/16

Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka ujao wa fedha ilipitishwa bungeni juzi baada ya wabunge kuijadili kwa siku saba.

 

10 years ago

Habarileo

Makinda aitaka Serikali kutekeleza bajeti 2015/16

Spika wa Bunge, Anna Makinda.SPIKA Anne Makinda ameitaka Serikali kuhakikisha bajeti ya mwaka 2015/16 inatekelezwa ipasavyo. Makinda alitoa kauli hiyo bungeni mjini hapa jana wakati alipokuwa akiahirisha Bunge muda mfupi baada ya Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum, kumaliza kusoma bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16.

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/16

SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBARMHE. OMAR YUSSUF MZEE          WAZIRI WA FEDHA         

ZANZIBAR          



A. UTANGULIZI                                                                                                                                 
1.            Mheshimiwa Spika, kama ilivyo ada kwetu sisi waumini, naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyenzi Mungu muumba wa mbingu na ardhi kwa kutujaalia neema ya uhai na afya zilizotuwezesha kukutana hapa. Baada ya kumshukuru Mwenyezi Mungu, naomba...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dini waionya Serikali

Siku chache baada ya vurugu kulikumba kongamano la kujadili mambo ya msingi katika Katiba Mpya lililofanyika katika Ukumbi wa Blue Pearl jijini na kuzuka kwa madai ya kupigwa kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya, Jaji Joseph Warioba viongozi wa dini wameonya kuwa kuna hatari ya nchi kuingia katika machafuko.

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Waziri Wassira ataja vipaumbele vya Serikali

>Serikali imetaja vipaumbele vyake katika mpango wa maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni nishati, uchukuzi, kilimo, elimu, maji na utafutaji wa rasilimali fedha.

 

10 years ago

GPL

BUNGE LA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2015/16 LAANZA MJINI DODOMA

MKUTANO wa 20 na wa mwisho wa Bunge la 10 ambalo litapitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2015/16 tayari umeanza mjini Dodoma asubuhi hii. Wabunge watachangia bajeti za wizara na Bajeti Kuu ya Serikali ndani ya siku 44 ikilinganishwa na siku 56 zilizotumika kupitisha bajeti ya mwaka 2014/15 na miaka ya nyuma na bunge hilo litamalizika Juni 27. Badala ya Bunge kuanza saa 3.00 asubuhi hadi saa 7.00 mchana na baadaye saa 11...

 

11 years ago

GPL

BAJETI KUU YA SERIKALI: TAKRIBANI SH. TRIL. 19. 7 ZATARAJIWA KUTUMIKA MWAKA 2014/2015

Spika wa Bunge la Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda akiwaasa wabunge wote kushiriki kikamilifu katika kamati zao kizalendo kwa kujali nchi yao ili ipatikane bajeti yenye tija kwa taifa leo (jana) wakati wa kupokea taarifa ya Wizara ya fedha jijini Dar es salaam. Waziri wa Fedha Saada Mkuya  Salum akiwasilisha taarifa ya sura ya Bajeti kuu ya Serikali kwa wabunge leo (jana)  jijini Dar es salaam… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani