Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa wairarua bajeti ya Serikali

mbatiano maoni ya upinzaniNA ARODIA PETER, Dodoma
KAMBI rasmi ya upinzani bungeni imeirarua bajeti ya Serikali na kuainisha mambo mbalimbali yatakayokwamisha utekelezaji wake.
Mbali na hayo, hotuba ya Ukawa ilitoa mchanganuo unaoonyesha kwamba kutokana na ukuaji wa deni la taifa, kila Mtanzania kwa sasa anadaiwa zaidi ya Sh 800,000.
Akisoma hotuba ya kambi hiyo bungeni jana, Msemaji wa Kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa Wizara ya Fedha, James Mbatia alisema si sahihi Serikali kujigamba kuwa mwaka huu bajeti...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ukawa waionya Serikali bajeti 2015/16

Dodoma\Dar. Siku moja baada ya Waziri wa Fedha, Saada Mkuya kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2015/16, Waziri wa Fedha Kivuli, James Mbatia amesema watawasilisha bajeti yao ambayo kama Serikali itaipuuza, itawagharimu. Mkuya aliwasilisha Bajeti ya Serikali ambayo makadirio yake ni Sh22.4 trilioni.

 

10 years ago

Michuzi

Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.

 Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.

Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.

Taarifa za Kamati...

 

11 years ago

Habarileo

Ukawa marufuku Bunge la Bajeti

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema ni marufuku kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya shughuli zake ndani ya Bunge la Bajeti.

 

11 years ago

Habarileo

Bajeti ya Serikali yapita

BAJETI ya Serikali imepita jana baada ya kuridhiwa na wabunge wengi wakiwemo baadhi ya Kambi ya Upinzani, ambapo Wabunge waliopiga kura za Ndiyo 234, Hapana 66.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yahaha kunusuru bajeti

Serikali iko taabani kifedha na sasa inatafuta vyanzo vipya vya mapato ili kutekeleza bajeti yake ya mwaka wa fedha wa 2014/2015, ambayo ni Sh19 trilioni.

 

10 years ago

Habarileo

Bajeti ya Serikali kusomwa Juni 11

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.BAJETI Kuu ya Serikali itasomwa Juni 11, mwaka huu katika kikao cha 10 cha Mkutano wa 20 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, unaotarajia kuanza Jumanne ijayo mjini Dodoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti ya Serikali yapita bungeni

Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/2016, imepitishwa na Bunge, huku kwa mara ya kwanza Mbunge wa Vunjo Augustine Mrema akiipinga, lakini wabunge watatu wa upinzani waliiunga mkono.

 

11 years ago

Habarileo

Bajeti Kuu ya Serikali yasukwa

KAMATI ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano, leo ilianza vikao vya siku sita na Serikali ili kutayarisha Bajeti Kuu ya Serikali, ambayo itasomwa Juni 12, mwaka huu na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani