Serikali yahaha kunusuru bajeti
Serikali iko taabani kifedha na sasa inatafuta vyanzo vipya vya mapato ili kutekeleza bajeti yake ya mwaka wa fedha wa 2014/2015, ambayo ni Sh19 trilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDqiVZWfq2y5KjFxXhWCwTG7XUYKPJDPVoRJ2gGXb*LzDxWw73wLGtKkwCbjR009WUFYpCmpTuHuOar34SZCjj37/balali.jpg)
SERIKALI YAHAHA, YAMSAKA BALALI
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Serikali yahaha kutafuta soko la mahindi nje
10 years ago
Habarileo06 Feb
Serikali kunusuru machinga nchini
SERIKALI imeingilia kati manyanyaso wanayopata wafanyabiashara ndogo na mamalishe nchini, kwa kuamua kuunda kikosi cha kiofisi, kitakachohusisha wajasiriamali hao kwa lengo la kukubaliana juu ya maeneo na muda mwafaka wa kuendesha shughuli zao.
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
11 years ago
Mwananchi06 May
Wadau, serikali wana mengi ya kufanya kunusuru elimu
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Labda CCM itawale milele kunusuru Muungano wa serikali mbili
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...
11 years ago
Habarileo25 Jun
Bajeti ya Serikali yapita
BAJETI ya Serikali imepita jana baada ya kuridhiwa na wabunge wengi wakiwemo baadhi ya Kambi ya Upinzani, ambapo Wabunge waliopiga kura za Ndiyo 234, Hapana 66.