SERIKALI NA WADAU BINAFSI WASHAURIWA KUWASAIDIA WAJASIRIAMALI WA KITANZANIA
Balozi wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh kushoto Aliyekaa kwenye kiti akipata burudani ya Msewe iliyoandaliwa kwa ajili yake na Kikundi cha Sanaa cha Zanzibar mara baada ya Balozi huyo kumaliza ziara yake ya kuwatembelea Watanzania na kushauriana nao mambo mbalimbali ya kukuza soko katika Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea Mjini Mascut nchini humo. Picha na Faki Mjaka.
Wasanii wa Kikundi cha Sanaa cha Zanzibar wakicheza Ngoma aina ya Uringe kwa Balozi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWizara ya Maendeleo ya Jamii yaendesha mkutano na wadau kutoka Taasisi za Serikali na Binafsi
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Tovuti ya kuwasaidia wajasiriamali yazinduliwa nchini
11 years ago
MichuziNSSF KUWAFIKIA WAJASIRIAMALI WAPYA MILIONI 22 WA SEKTA BINAFSI
Akichangia mada katika semina hiyo, Oigo alisema kuwa NSSF inatoa mafao ya muda mrefu...
5 years ago
Michuzi
WANAWAKE WAJASIRIAMALI VISIWANI PEMBA WASHAURIWA KUTUMIA VIZURI NEEMA YA ZAO LA KARAFUU ILI KUZALISHA BIDHAA
Na Muhammed Khamis-TAMWA-Zanzibar
MKURUGENZI wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake( TAMWA- Zanzibar) Dkt.Mzuri Issa amewashauri wanawake wajasiriamali kisiwani Pemba kutumia vizuri neema ya zao la Karafuu kisiwani humo kwa kuzalisha bidhaa mbali mbali.
Dkt Mzuri aliyasema hayo leo Juni 27,2020 wakati alipokua akitizama baadhi ya bidhaa
zinazozalishwa na wajasirimaali hao kutoka Pemba huko ofisini kwake
Tunguu Wilaya ya kati Unguja.
Amesema zao la karafuu linaweza kuzalisha bidhaa mbali...
10 years ago
StarTV06 Oct
Watafiti, wadau washauriwa kushirikiana utungaji wa sera
Watafiti nchini wamewashauri kushirikiana na watunga sera na wadau wa maendeleo wa sekta mbalimbali kutambua umuhimu wa takwimu katika kutoa uamuzi na kutunga sheria zitakazolingana na takwimu husika.
Tanzania imeonekana kuwa na tatizo la kutotumia takwimu katika baadhi ya maeneo, hali inayosababisha kuwepo kwa upungufu katika huduma za kijamii, hasa sekta ya elimu na Afya.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti na Sera (REPOA), Prof Samweli Wangwe, amesema kinachosababisha changamoto katika...
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Kawambwa sasa awakera wadau kuhusu mchujo sekondari binafsi
11 years ago
CloudsFM19 Jun
SUGU AITAKA SERIKALI KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO
Kinachoendelea bungeni mjini Dodoma, baada ya bajeti kusomwa wiki iliy opita, sasa hivi ni wakati wa wabunge kuchangia mawazo na mitazamo yao kwenye bajeti hii ya mwaka wa fedha 2014/2015,, mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, hivi karibuni aliishauri serikali kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo ili kuweza kunyanyua uchumi wao na taifa kwa ujumla.
11 years ago
GPLWADAU WAOMBWA KUDHAMINI MAONYESHO YA KAZI ZA VIJANA WAJASIRIAMALI YATAKAYOFANYIKA DODOMA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10