Kawambwa sasa awakera wadau kuhusu mchujo sekondari binafsi
Hivi karibuni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa alinukuliwa na vyombo vya habari akiagiza wamiliki wa shule binafsi kufuata viwango vya ufaulu vilivyowekwa na Serikali katika madaraja mbalimbali ya elimu ya sekondari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Dk. Shukuru Kawambwa aipongeza Shule ya sekondari ” Imperial” kwa jinsi ilivyojipanga kutoa elimu bora
Waziri wa Elimu na Mafunzo, Dr. Shukuru Kawambwa, jana Tarehe 7 July-2014, alitembelea maenesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (TANTRADE) , yajulikanayo kama maonesho ya Saba Saba, na kutembelea Banda la Shule ya Sekondari Imperial, Dr. Kawambwa ametoa pongezi kwa uongozi na waalimu wa Shule ya Sekondari Imperial, kwa Jinsi ilivyojipanga kuhakikisha inatoa Elimu Bora Nchini, inayokidhi viwango vya Kimataifa, kwa gharama nafuu.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Dkt. Shukuru Kawambwa kuwa mgeni rasmi kwenye Harambee ya shule ya Sekondari ya Enaboishu mkoani Arusha
Na Beatrice Lyimo, Maelezo-DSM.
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Dkt. Shukuru Kawambwa (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu vyumba vya madarasa na ununuzi wa samani katika shule ya Sekondari ya Enaboishu iliyopo mkoani Arusha.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Bw. Emmanuel Munga wakati alipokuwa akizungumza na waandishi jijini Dar Es Salaam.
Munga amesema kuwa Harambee hiyo inatarajiwa kufanyika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hOZXX85nCM0/VUsptBIplVI/AAAAAAAHV2g/D5VBVet20Qk/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-07%2Bat%2B11.55.42%2BAM.png)
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Mfumo mpya wa uandikishaji sekondari utazisaidia shule binafsi?
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
10 years ago
VijimamboSERIKALI NA WADAU BINAFSI WASHAURIWA KUWASAIDIA WAJASIRIAMALI WA KITANZANIA
10 years ago
VijimamboUFUNGUZI WA WARSHA YA WADAU KUHUSU “HUDUMA ZITOLEWAZO NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NA UAINISHAJI WA MAHITAJI YA WADAU”, HOTELI YA BLUE PEARL, DAR ES SALAAM, TANZANIA, TAREHE 24 MACHI, 2015
10 years ago
MichuziWizara ya Maendeleo ya Jamii yaendesha mkutano na wadau kutoka Taasisi za Serikali na Binafsi
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Sekta binafsi sasa yashika uchumi EAC
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10