Watafiti, wadau washauriwa kushirikiana utungaji wa sera
Watafiti nchini wamewashauri kushirikiana na watunga sera na wadau wa maendeleo wa sekta mbalimbali kutambua umuhimu wa takwimu katika kutoa uamuzi na kutunga sheria zitakazolingana na takwimu husika.
Tanzania imeonekana kuwa na tatizo la kutotumia takwimu katika baadhi ya maeneo, hali inayosababisha kuwepo kwa upungufu katika huduma za kijamii, hasa sekta ya elimu na Afya.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti na Sera (REPOA), Prof Samweli Wangwe, amesema kinachosababisha changamoto katika...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 Jun
Washauriwa kushirikiana kibiashara
WAFANYABIASHARA wameshauriwa kujenga mtandao wa kibiashara na kujifunza kutoka kwa wengine iwe njia mojawapo ya kuwawezesha kufanikiwa katika uwekezaji.
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Watanzania washauriwa kushirikiana
WATANZANIA wameshauriwa kuunganisha nguvu na kushiriki katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya kijamii ambayo wanaona inaweza kuwa na msaada katika kuwaletea maendeleo badala ya kusubiri serikali kufanya kila jambo. Wito...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Watanzania washauriwa kushirikiana na Polisi
WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kushirikiana na vyombo vya dola, pamoja na kushiriki ulinzi shirikishi katika maeneo wanayoishi ili kudhibiti matukio ya uhalifu. Ushauri huo umetolewa hivi karibuni na Mkurugenzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bjp8hTEsL8E/XkbKmcgEGvI/AAAAAAALda8/1r2BC4ghHKIG4GG4fOtm3Zwy-_KaBGTJgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-27-2048x1365.jpg)
IMF KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUIMARISHA SERA ZA KIUCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bjp8hTEsL8E/XkbKmcgEGvI/AAAAAAALda8/1r2BC4ghHKIG4GG4fOtm3Zwy-_KaBGTJgCLcBGAsYHQ/s640/1-27-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-25-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-23-scaled.jpg)
10 years ago
VijimamboSERIKALI NA WADAU BINAFSI WASHAURIWA KUWASAIDIA WAJASIRIAMALI WA KITANZANIA
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Wadau wa habari wakubaliana kushirikiana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UihmiPvJXHw/XvDBbi9U4jI/AAAAAAALu94/u7ClI4TaE4Ik38v_htZPXjY7oUl10fmZgCLcBGAsYHQ/s72-c/KM-KUSAYA-1-1-768x588.jpg)
UDHIBITI WA SUMUKUVU UNAHITAJI WADAU KUSHIRIKIANA- KUSAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UihmiPvJXHw/XvDBbi9U4jI/AAAAAAALu94/u7ClI4TaE4Ik38v_htZPXjY7oUl10fmZgCLcBGAsYHQ/s640/KM-KUSAYA-1-1-768x588.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC_3488-1024x682.jpg)
Sehemu ya wajumbe wa kikao cha Kamati ya Kusimamia Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu nchini kilichoanyika leo mkoani Morogoro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC_3507-1024x682.jpg)
Wataalam toka wizara na taasisi zinazohusika na udhibiti wa Sumukuvu nchini wakiwa kwenye kikao cha kamati ya usimamizi wa mradi wa kudhibiti...
11 years ago
Habarileo07 Mar
Wadau waanza kupitia rasimu sera ya petroli
WADAU kutoka taasisi mbalimbali za serikali wameanza kupitia rasimu ya kwanza ya sera ya petroli katika kikao kazi kwenye Hoteli ya Millennium Sea Breeze mjini hapa.
10 years ago
VijimamboWadau wajadili sera ya Taifa ya Mtangamano ya Afrika Mashariki