Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania washauriwa kushirikiana na Polisi

WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kushirikiana na vyombo vya dola, pamoja na kushiriki ulinzi shirikishi katika maeneo wanayoishi ili kudhibiti matukio ya uhalifu. Ushauri huo umetolewa hivi karibuni na Mkurugenzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Watanzania washauriwa kushirikiana

WATANZANIA wameshauriwa kuunganisha nguvu na kushiriki katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya kijamii ambayo wanaona inaweza kuwa na msaada katika kuwaletea maendeleo badala ya kusubiri serikali kufanya kila jambo. Wito...

 

11 years ago

Habarileo

Washauriwa kushirikiana kibiashara

WAFANYABIASHARA wameshauriwa kujenga mtandao wa kibiashara na kujifunza kutoka kwa wengine iwe njia mojawapo ya kuwawezesha kufanikiwa katika uwekezaji.

 

9 years ago

StarTV

Watafiti, wadau washauriwa kushirikiana utungaji wa sera

Watafiti nchini wamewashauri kushirikiana na watunga sera na wadau wa maendeleo wa sekta mbalimbali  kutambua umuhimu wa takwimu katika kutoa uamuzi na kutunga sheria zitakazolingana na takwimu husika.

Tanzania imeonekana kuwa na tatizo la kutotumia takwimu katika baadhi ya maeneo, hali inayosababisha  kuwepo kwa upungufu katika huduma za kijamii, hasa sekta ya elimu na Afya.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti na Sera (REPOA), Prof Samweli Wangwe, amesema kinachosababisha changamoto katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania washauriwa kudumisha umoja, mshikamano

WATANZANIA wameshauriwa kuendeleza upendo miongoni mwao bila ya kubaguana kwa misingi ya rangi, kabila na dini, ili kuendeleza jamii na nchi kwa ujumla. Akizungumza wakati wa kuchangisha fedha kwa ajili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania washauriwa kusoma, kuandika vitabu

WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kusoma vitabu ili kupata maarifa ya kuwasaidia katika kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo. Wito huo ulitolewa na mwandishi wa vitabu, Evodius Katare, ambaye pia ni...

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WASHAURIWA KUWEKEZA KWA KUWAJALI WATOTO

Mkuu wa Kitengo cha Usuluishi na Ushauri wa Sheria (katikati) akisisitiza jambo kwa wanahabari alipokuwa akitoa tamko kwa vyombo vya habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Valerie Msoka. Kushoto ni Mwanasheria wa Tamwa, Loyce Gondwe na kulia ni Mwanachama wa TAMWA, Marie Shaba. Mkutano wa waandishi wa habari pamoja na wawakilishi wa TAMWA wakisoma tamko lao juu ya umuhimu wa jamii kuwajali watoto.… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watanzania washauriwa kuzingatia Afya bora ya Moyo

Print

Ikiwa zimepita siku tatu toka kuhadhimishwa siku ya Moyo duniani mwaka huu, Watanzania wameshauriwa kufanya maamuzi binafsi katika kujali afya ya moyo. Kauli mbiu ya Siku ya Moyo duniani mwaka 2015 inahusu kuchagua afya bora ya moyo kwa kila mtu na kila mahali. Pia inalenga kuonyesha matokeo ambayo mazingira yetu yanaweza kuleta juu ya uwezo wetu wa kufanya maamuzi bora kwa ajili afya bora kwa moyo wa binaadamu. Pia siku hiyo inatumika kuelimisha jinsi ambavyo mazingira tunayoishi yanaweza...

 

11 years ago

Michuzi

WATANZANIA WASHAURIWA KUWEKEZA NA DHAMANA YA UWEKEZAJI TANZANIA

Watanzania Wameshauriwa Kuwekeza kwenye Mifuko Iliyo Chini ya Dhamana ya Uwekezaji Tanzania Kwa Lengo la Kuwekeza kwaajili ya Maisha mara Baada ya Kusataafu.
Wito Huo Umetolewa  na Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano Kutoka Dhamana ya uwekezaji Tanzania Bwana Daudi Mbaga Wakati Akitoa Mada Kwenye Semina ya wafanyakazi Wanaokaribia Kustafu Inayoendelea Mkoani Morogoro.
Alisema Kwamba Watanzania Wengi huwa hawajui Nini Cha Kufanya Pindi Wanapostaafu Hali Inayosababisha Watanzania...

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania washauriwa kutumia mfumo wa KAIZEN kuleta tija

 Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Florens Turuka (wa pili kulia) akifurahia jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA, Prof. Samuel Wangwe (kulia) wakati wa mkutano wa Taasisi ya Maafisa Wakuu Watendaji (CEOs Round Table) katika semina kuhusu umuhimu wa kutumia utaratibu huo wa KAIZEN kuchochea maendeleo Jumanne jijini Dar es Salaam.  Wa pili kushoto ni Katibu Mkuu, Wizara ya Biashara na Viwanda, Bw. Uledi Musa na Muwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Japan (JICA) Tanzania, Bw. Yasunori...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani