Washauriwa kushirikiana kibiashara
WAFANYABIASHARA wameshauriwa kujenga mtandao wa kibiashara na kujifunza kutoka kwa wengine iwe njia mojawapo ya kuwawezesha kufanikiwa katika uwekezaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
China na Australia kushirikiana kibiashara
10 years ago
MichuziFINLAND NA TANZANIA KUSHIRIKIANA KIBIASHARA
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Watanzania washauriwa kushirikiana
WATANZANIA wameshauriwa kuunganisha nguvu na kushiriki katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya kijamii ambayo wanaona inaweza kuwa na msaada katika kuwaletea maendeleo badala ya kusubiri serikali kufanya kila jambo. Wito...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Watanzania washauriwa kushirikiana na Polisi
WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kushirikiana na vyombo vya dola, pamoja na kushiriki ulinzi shirikishi katika maeneo wanayoishi ili kudhibiti matukio ya uhalifu. Ushauri huo umetolewa hivi karibuni na Mkurugenzi...
9 years ago
StarTV06 Oct
Watafiti, wadau washauriwa kushirikiana utungaji wa sera
Watafiti nchini wamewashauri kushirikiana na watunga sera na wadau wa maendeleo wa sekta mbalimbali kutambua umuhimu wa takwimu katika kutoa uamuzi na kutunga sheria zitakazolingana na takwimu husika.
Tanzania imeonekana kuwa na tatizo la kutotumia takwimu katika baadhi ya maeneo, hali inayosababisha kuwepo kwa upungufu katika huduma za kijamii, hasa sekta ya elimu na Afya.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti na Sera (REPOA), Prof Samweli Wangwe, amesema kinachosababisha changamoto katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cQmePtl05qo/VXb3p7_uLUI/AAAAAAAHdYA/uGes_C5P_aA/s72-c/Untitled.png)
Benki M kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani Katika kuwasaidia Watanzania wanaosaka ajira
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQmePtl05qo/VXb3p7_uLUI/AAAAAAAHdYA/uGes_C5P_aA/s640/Untitled.png)
9 years ago
Habarileo18 Dec
Magereza kujiendesha kibiashara
JESHI la Magereza limesema limejipanga kutekeleza maelekezo mbalimbali yaliyotolewa na Rais John Magufuli ambayo ni pamoja na kujiendesha kibiashara katika miradi yake na pia kupunguza matumizi ya fedha za Serikali. Akizungumza katika Mkutano wa Mwaka na maofisa waandamizi wa Jeshi hilo, Kamishna Jenerali, John Minja alisema katika kutekeleza agizo hilo la Rais Magufuli la kujiendesha kibiashara, tayari Jeshi limeandaa andiko la miradi ambalo limekwisha kabidhiwa Tume ya Mipango.
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Ferrari na mtazamo mpya kibiashara.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHsluCYYFDCgTrtVmwawfvL2MeNenrJZSN4vrb8dHBeZ21b481j6t1jgL-AWG-JWW0Xhdr38fQhfa7HFol2ps1cm0/cheni.jpg?width=650)
DK. CHENI: NIPO KIBIASHARA ZAIDI!