Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washauriwa kushirikiana kibiashara

WAFANYABIASHARA wameshauriwa kujenga mtandao wa kibiashara na kujifunza kutoka kwa wengine iwe njia mojawapo ya kuwawezesha kufanikiwa katika uwekezaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

China na Australia kushirikiana kibiashara

Rais wa China, Xi Jinping ametia saini mpango wa biashara huru na waziri mkuu wa Australia Tony Abbott.

 

10 years ago

Michuzi

FINLAND NA TANZANIA KUSHIRIKIANA KIBIASHARA

 Mkurugenzi wa biashara ya ndani mamlaka ya maendeleo ya biashara Tanzania (TANTRADE), Edwin Rutagarutwa akizungunza  katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam  leo. Kuhusiana na  wigo wa biashara hapa nchini na nchi ya Finlan.  Mwenyekiti wa mkutano na Ushirikishaji  wa ubalozi wa Finland,Siv Ahlberg katika akizungunza  katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watanzania washauriwa kushirikiana

WATANZANIA wameshauriwa kuunganisha nguvu na kushiriki katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya kijamii ambayo wanaona inaweza kuwa na msaada katika kuwaletea maendeleo badala ya kusubiri serikali kufanya kila jambo. Wito...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania washauriwa kushirikiana na Polisi

WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kushirikiana na vyombo vya dola, pamoja na kushiriki ulinzi shirikishi katika maeneo wanayoishi ili kudhibiti matukio ya uhalifu. Ushauri huo umetolewa hivi karibuni na Mkurugenzi...

 

9 years ago

StarTV

Watafiti, wadau washauriwa kushirikiana utungaji wa sera

Watafiti nchini wamewashauri kushirikiana na watunga sera na wadau wa maendeleo wa sekta mbalimbali  kutambua umuhimu wa takwimu katika kutoa uamuzi na kutunga sheria zitakazolingana na takwimu husika.

Tanzania imeonekana kuwa na tatizo la kutotumia takwimu katika baadhi ya maeneo, hali inayosababisha  kuwepo kwa upungufu katika huduma za kijamii, hasa sekta ya elimu na Afya.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti na Sera (REPOA), Prof Samweli Wangwe, amesema kinachosababisha changamoto katika...

 

10 years ago

Michuzi

Benki M kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani Katika kuwasaidia Watanzania wanaosaka ajira

Makamu Mkurugenzi Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (pili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati Bank M ikitangaza kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani ya hapa Tanzania (AMCHAM-TZ) katika kuwasaidia wanaosaka ajira katika kuzikabili changamoto za ajira kisasa zaidi. Wengine pichani toka kushoto ni Makamu wa Rais wa sasa wa AMCHAM-TZ,Bhakti Shah, Mkurugenzi Mkuu wa AMCHAM-TZ, Richard Miles, Bw. David Mbumila kutoka Restless Development na Peter...

 

9 years ago

Habarileo

Magereza kujiendesha kibiashara

JESHI la Magereza limesema limejipanga kutekeleza maelekezo mbalimbali yaliyotolewa na Rais John Magufuli ambayo ni pamoja na kujiendesha kibiashara katika miradi yake na pia kupunguza matumizi ya fedha za Serikali. Akizungumza katika Mkutano wa Mwaka na maofisa waandamizi wa Jeshi hilo, Kamishna Jenerali, John Minja alisema katika kutekeleza agizo hilo la Rais Magufuli la kujiendesha kibiashara, tayari Jeshi limeandaa andiko la miradi ambalo limekwisha kabidhiwa Tume ya Mipango.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ferrari na mtazamo mpya kibiashara.

Ferrari kujitegemea kibiasha hasa ikizingatiwa siku za hivi karibuni mtaji wake umekua.

 

10 years ago

GPL

DK. CHENI: NIPO KIBIASHARA ZAIDI!

Gladness Mallya WAKATI mastaa wa fani mbalimbali wakijinadi kuwaunga mkono baadhi ya wanasiasa katika kuelekea uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu, mkali wa filamu Bongo, Muhsein Awadh ‘Dk. Cheni’ ameibuka na kusema yeye yupo kibiashara zaidi kwani hana chama.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1Ip2xYe

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani