FINLAND NA TANZANIA KUSHIRIKIANA KIBIASHARA
Mkurugenzi wa biashara ya ndani mamlaka ya maendeleo ya biashara Tanzania (TANTRADE), Edwin Rutagarutwa akizungunza katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam leo. Kuhusiana na wigo wa biashara hapa nchini na nchi ya Finlan.
Mwenyekiti wa mkutano na Ushirikishaji wa ubalozi wa Finland,Siv Ahlberg katika akizungunza katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Tanzania, Finland kushirikiana mageuzi ya usimamizi wa fedha
SERIKALI kupitia Wizara ya Fedha imesaini mkataba wa ushirikiano wa mageuzi ya usimamizi wa fedha na nchi ya Finland wenye thamani ya sh bilioni 10. Akizungumza wakati wa kusaini mkataba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9yXkGfEiESg/XlPuEbt0W4I/AAAAAAALfIk/KpBpr3UwngIL1O5o8Kd3OsQg8VSiEH30ACLcBGAsYHQ/s72-c/2c2e9181-5a10-4564-90cc-cd9fd7f7fc01.jpg)
TANZANIA NA FINLAND ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA KATIKA KUONGEZA IDADI YA WATALII NCHINI
SERIKALI za Tanzania na Finland zimekubaliana kushirikiana katika kukuza sekta ya utalii nchini pamoja na sekta zingine za kimaendeleo lengo likiwa ni kuinua uchumi wa Nchi.
Makubaliano hayo yamefanyika leo jijini Dodoma wakati wa kikao cha pamoja kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof Adolf Mkenda na Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Biashara, Ville Skinnari.
Akizungumza baada ya mazungumzo hayo ambayo pia yalihudhuriwa na Balozi wa Finland...
11 years ago
Habarileo19 Jun
Washauriwa kushirikiana kibiashara
WAFANYABIASHARA wameshauriwa kujenga mtandao wa kibiashara na kujifunza kutoka kwa wengine iwe njia mojawapo ya kuwawezesha kufanikiwa katika uwekezaji.
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
China na Australia kushirikiana kibiashara
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cQmePtl05qo/VXb3p7_uLUI/AAAAAAAHdYA/uGes_C5P_aA/s72-c/Untitled.png)
Benki M kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani Katika kuwasaidia Watanzania wanaosaka ajira
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQmePtl05qo/VXb3p7_uLUI/AAAAAAAHdYA/uGes_C5P_aA/s640/Untitled.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CK0pilBnLJU/VIGvJDmnLxI/AAAAAAAAZQc/tPvrAVbrxEE/s72-c/sauli1.jpg)
JK salutes the President of the Republic of Finland on the occasion of the 97th Anniversary of Finland’s Independence
![](http://3.bp.blogspot.com/-CK0pilBnLJU/VIGvJDmnLxI/AAAAAAAAZQc/tPvrAVbrxEE/s1600/sauli1.jpg)
H.E President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.E. Sauli Niinisto, the President of the Republic of Finland on the occasion of the 97th Anniversary of Finland’s Independence on 6th December, 2014.“His Excellency Sauli Niinisto, The President of the Republic of Finland, Helsinki, FINLAND.It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic...
9 years ago
AllAfrica.Com14 Dec
Tanzania: Finland's 2 Million Euros to Boost Tanzania Growth
AllAfrica.com
Dar es Salaam — Finish government has granted Euro 2 million (about Sh4.7billion) to an organization working to unlock economic potentials in East Africa--TradeMark East Africa (TMEA)--to complete building houses for staff working at border posts.
11 years ago
Habarileo31 Jan
Waziri wa Finland aipongeza Tanzania
WAZIRI wa Maendeleo ya Kimataifa wa Finland, Pekka Haavisto ameipongeza Tanzania kwa kuwa nchi yenye amani na watu wake kushiriki katika upatanisho na usuluhishi kwa mataifa mengi Afrika, kwa kutambua kuwa athari za machafuko ya nchi hizo, yana madhara makubwa kwa amani hiyo.
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Tanzania, Finland kuimarisha uhusiano
Na Mwandishi Maalumu, Finland
UHUSIANO baina ya Tanzania na Finland utaendelea kuimarishwa zaidi kuliko ilivyo sasa, imeelezwa.
Kauli hiyo imetolewa jana mjini Helsinki na Rais Sauli Niinisto wa Finland, katika mazungumzo yake na Rais Jakaya Kikwete yaliyofanyika Ikulu nchini hapa.
“Uhusiano wetu ni wa muda mrefu, ni uhusiano ambao umedumu kwa miaka 50, tumekuwa na uhusiano ambao umeleta maendeleo ya kiuchumi kwa Tanzania.” Rais Niinisto alisema na kuongeza: “Hii inatupa nafasi ya kutafuta...