DK. CHENI: NIPO KIBIASHARA ZAIDI!
![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHsluCYYFDCgTrtVmwawfvL2MeNenrJZSN4vrb8dHBeZ21b481j6t1jgL-AWG-JWW0Xhdr38fQhfa7HFol2ps1cm0/cheni.jpg?width=650)
Gladness Mallya WAKATI mastaa wa fani mbalimbali wakijinadi kuwaunga mkono baadhi ya wanasiasa katika kuelekea uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu, mkali wa filamu Bongo, Muhsein Awadh ‘Dk. Cheni’ ameibuka na kusema yeye yupo kibiashara zaidi kwani hana chama. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1Ip2xYe
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo529 Aug
Juma Nature: Wanawake wengi waongo, bado nipo nipo sana
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Rais Kikwete ataka NHC ipewe uhuru zaidi kibiashara
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXVs5YppiYE/VYMtRKnBLEI/AAAAAAAAex4/pQN-jL3F2R8/s72-c/INDIA%2B357.jpg)
TANZANIA NA INDIA ZINAWEZA KUFANYA VIZURI ZAIDI KIBIASHARA, RAIS KIKWETE
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXVs5YppiYE/VYMtRKnBLEI/AAAAAAAAex4/pQN-jL3F2R8/s640/INDIA%2B357.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa licha ya biashara kati ya Tanzania na India kuongezeka katika miaka ya hivi karibuni, bado kuna nafasi ya kufanya vizuri zaidi endapo fursa zilizopo zitatumiwa ipasavyo.
Rais Kikwete alisema hayo alipokuwa anaongea na Watendaji Wakuu wa Makampuni Makubwa ya India jijini Delhi leo tarehe 18 Juni 2015.
Rais Kikwete yupo nchini India kwa ziara ya Kitaifa ya siku nne iliyoanzia Siku ya Jumanne tarehe 17 Juni, 2015. Alisema kuwa lengo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*ALC-S-EV1MB0T1Qpa0TmeFViFB0cMXWZEvshKClwTAF-4aYyook7Lfxz0rLNYuXnxi4kIL*hGqp0RmBCpokFv9/johari.jpg?width=650)
JOHARI: BADO NIPO NIPO SANA
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Kapombe: Bado nipo nipo kwanza
ALIYEKUWA beki wa timu ya Simba, Shomari Kapombe, amesema mipango yake ya kujiunga na Azam imekwama, akisubiri amalizane kwanza na AS Cannes ya Ufaransa. Kapombe ameamua kurejea nchini na kujiunga...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Wnh49ymr4yE/VXXBsTp26LI/AAAAAAAC54M/v_0P5Ihf278/s72-c/China%2BPix%2B1.jpg)
WATAALAM WA BIASHARA NA VIWANDA TANZANIA KUTEMBELEA CHINA KUSAKA FURSA ZA KIBIASHARA ZAIDI.
Hatua hiyo inakuja miezi michache baada ya ziara ya Rais Jakaya Kikwete nchini ambapo serikali ya China ilikubali kusaidia Tanzania katika maendeleo na uendeshaji wa Viwanda nchini.
Akizungumza wakati wa sherehe ya...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Balozi Seif Ali Iddi asema uhusiano kibiashara Zanzibar na mataifa ya Ghuba kuimarika zaidi
Makamu wa Pili wa Rais na Mgeni wake Makamu wa Rais wa Kampuni ya Kimataifa ya Flydubai Bwana Sudhir Sreedhara aliyevaa miwani wakiangalia burudani ya ngoma ya Utamaduni Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar mara baada ya ndege ya Kampuni hiyo kutua kuanza safari zake kati ya Dubai na Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba mafungamano yaliyopo ya Kibiashara baina ya Zanzibar na Mataifa ya Ghuba na Mashariki ya mbali yatazidi kuimarika kufuatia...
10 years ago
Vijimambo28 Oct
10 years ago
Bongo Movies16 May
Dr Cheni Ajigeuza Mwanamke!
Staa mkongwe wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dokta Cheni’ kwa mara ya kwanza ataibuka kama mwanamke katika filamu inayokwenda kwa jina la ‘ Nimekubali kuolewa’ inayotarajiwa kutoka Mei 21 mwaka huu baada ya kucheleweshwa kutoka na bodi ya filamu nchini ambayo ilikuwa na wasiwasi nayo katika baadhi ya vipengele.
Akizungumza na gazeti la Sani, Dokta Cheni alisema kwamba filamu hiyo ni nzuri na imefanyika katika ubora wa hali ya juu.
Aidha, alikiri kusimamishwa na bodi ya filamu na kusema...