Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kapombe: Bado nipo nipo kwanza

ALIYEKUWA beki wa timu ya Simba, Shomari Kapombe, amesema mipango yake ya kujiunga na Azam imekwama, akisubiri amalizane kwanza na AS Cannes ya Ufaransa. Kapombe ameamua kurejea nchini na kujiunga...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Juma Nature: Wanawake wengi waongo, bado nipo nipo sana

Juma Nature amesema tabia ya uongo kwa wanawake wengi inamfanya asifikirie kuoa awe mgumu kuoa. Nature ambaye ni baba wa mtoto mmoja aitwaye Furaha, ameiambia Bongo5 kuwa anashidwa kufanya uchaguzi sahihi wa mwanamke kutokana na wanawake kuwa matapeli. “Suala la kuoa ni suala la kitaifa, siku mimi nikioa hata rais atajua Juma Nature anaoa, nikiwa […]

 

10 years ago

GPL

JOHARI: BADO NIPO NIPO SANA

Na Imelda Mtema
MKONGWE kwenye kilinge cha sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amewataka mashabiki wake wajue kwamba, muda ukifika wa kupata mume wa kufunga naye ndoa, atafanya hivyo lakini kwa sasa anatoa kipaumbele kwenye kazi tu. Mkongwe kwenye kilinge cha sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akizungumza na Amani, Johari ambaye umri wake upo juu ya miaka 30, alisema watu wengi...

 

11 years ago

GPL

Kapombe: Naumwa, nipo tu nyumbani Moro

Beki aliyekuwa akikipiga AS Cannes ya Ufaransa, Shomari Kapombe. Na Martha Mboma
BEKI aliyekuwa akikipiga AS Cannes ya Ufaransa, Shomari Kapombe, amesema ameshindwa kufanya mazoezi kwa kuwa amekuwa akisumbuliwa na malaria mara kwa mara. Awali beki huyo alikuwa akicheza Simba na alikwenda kuichezea AS Cannes lakini amesema kwa sasa anatumia muda wake mwingi akiwa Morogoro akijiuguza. Akizungumza na Championi Ijumaa, beki huyo...

 

10 years ago

StarTV

Mugabe: Bado nipo sana.

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amelaumu baadhi ya watu ndani ya chama chake tawala cha ZANU-PF kwamba wanapanga kumng’oa madarakani.

Akizungumza katika kongamano la chama hicho, Mugabe amesema amebaini kuwepo majaribio ya kuwahonga wajumbe kumpinga kama kiongozi, lakini akasisitiza wajumbe hawawezi kupokea hongo.

Mugabe ameahidi kupambana na rushwa ndani ya chama na kukabiliana na maafisa wa chama hicho ambao kazi yao ni kutoa hongo na kupokea rushwa.

Wanachama wengi wa chama hicho wangali...

 

10 years ago

Mwananchi

Bado nipo kisanaa, siasa ilinificha kwenye uigizaji

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 sanaa ya uigizaji nchini ilionekana kuwa kivutio kikubwa kwa Watanzania kutokana na vipaji mbalimbali vilivyoonekana kupitia vipindi vya runinga.

 

9 years ago

Bongo Movies

Nipo Sijapotea- Nora

MWIGIZAJI wa kike katika tasnia ya filamu Bongo Nuru Nassor ‘Nora’ anasema hajapotea katika tasnia ya filamu bali ni kujipanga na kufanya kazi zake zaidi kuliko za kushirikishwa kwani mara nyingi filamu ili ung’are lazima uwe mtayarishaji.

“Filamu ni tofauti na tamthilia, katika filamu kuna changamoto nyingi sana hali ya soko lakini pia maandalizi yake ni gharama, ndio kuna wakati wanaona msanii kama kapotea kumbe anajipanga,”Nora.

Nora anasema kuwa baadhi ya watayarishaji ni waoga...

 

10 years ago

GPL

DK. CHENI: NIPO KIBIASHARA ZAIDI!

Gladness Mallya WAKATI mastaa wa fani mbalimbali wakijinadi kuwaunga mkono baadhi ya wanasiasa katika kuelekea uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu, mkali wa filamu Bongo, Muhsein Awadh ‘Dk. Cheni’ ameibuka na kusema yeye yupo kibiashara zaidi kwani hana chama.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1Ip2xYe

 

11 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nipo tayari kushtakiwa

Waziri John Magufuli

Waziri John Magufuli

Oliver Oswald Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema yupo tayari kufungwa jela kuliko kuendelea kuwavumilia watu wanaokwamisha ujenzi wa miundombinu ya barabara kwa kukimbilia mahakamani.

Sambamba na hilo, pia amepiga marufuku uchimbaji wa mchanga pembezoni mwa mto uliokuwa eneo la daraja la Lugalo, ikiwa ni pamoja na kuwapa tahadhari ya kuwafungia wafanyabiashara walio karibu na eneo hilo endapo watashindwa kuwa walinzi wa uharibifu...

 

10 years ago

GPL

KIWEWE: NIPO NA MATUMAINI KIKAZI TU

Na Chande Abdallah/ Amani MKALI wa komedi anayeigiza kwa lafudhi ya Kichaga, Robert Agustino ‘Kiwewe’ amefunguka kuwa yeye na msanii mwenzake, Matumaini bado wanashirikiana kwenye kazi mbalimbali na kufuta uvumi kuwa wametengana baada ya kugombana. ‘Kiwewe’ akiwa na msanii mwenzake, Matumaini. Akiwamwagia ‘ubuyu’ Amani, Kiwewe alisema kuwa wengi hudhania yeye na Matumaini wamegombana jambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani