KIWEWE: NIPO NA MATUMAINI KIKAZI TU
![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DduFeVb1FapN*QlbDWEdWQgB8IlQT42PIhLv7VsqmIA7lxh2TiRGTMWVypp4h0tgfUAk8mAyHH05Q04fY5m4FY*/Kiwewe.jpg?width=650)
Na Chande Abdallah/ Amani MKALI wa komedi anayeigiza kwa lafudhi ya Kichaga, Robert Agustino ‘Kiwewe’ amefunguka kuwa yeye na msanii mwenzake, Matumaini bado wanashirikiana kwenye kazi mbalimbali na kufuta uvumi kuwa wametengana baada ya kugombana. ‘Kiwewe’ akiwa na msanii mwenzake, Matumaini. Akiwamwagia ‘ubuyu’ Amani, Kiwewe alisema kuwa wengi hudhania yeye na Matumaini wamegombana jambo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo529 Aug
Juma Nature: Wanawake wengi waongo, bado nipo nipo sana
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Kapombe: Bado nipo nipo kwanza
ALIYEKUWA beki wa timu ya Simba, Shomari Kapombe, amesema mipango yake ya kujiunga na Azam imekwama, akisubiri amalizane kwanza na AS Cannes ya Ufaransa. Kapombe ameamua kurejea nchini na kujiunga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*ALC-S-EV1MB0T1Qpa0TmeFViFB0cMXWZEvshKClwTAF-4aYyook7Lfxz0rLNYuXnxi4kIL*hGqp0RmBCpokFv9/johari.jpg?width=650)
JOHARI: BADO NIPO NIPO SANA
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
JK atia kiwewe
JOTO la nani ataondolewa kwenye Baraza la Mawaziri na nani atateuliwa limeanza kupanda miongoni mwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tayari majina kadhaa yameshaanza kutajwa kurithi viti vya mawaziri...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
JK aingiwa kiwewe
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amewataka wanachama wake kuacha unyonge na uwoga katika chaguzi mbalimbali ili kukabiliana na baadhi ya vyama vya siasa ambavyo vinafikiria siasa...
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Bazara la Mbowe kiwewe
BARAZA jipya la mawaziri kivuli lililotangazwa juzi na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, limeanza kukitia kiwewe Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Daima Jumapili limebaini. Mbowe alilisuka...
9 years ago
Mtanzania26 Aug
Lowassa aleta kiwewe
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
SHUGHULI za wafanyabiashara kwenye masoko ya Tandale, Tandika na Kariakoo jijini Dar es Salaam, zimesimama kwa muda jana baada ya mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kupita kwenye maeneo hayo.
Tofauti na juzi ambapo Lowassa alifanikiwa kufika kwenye kituo cha Daladala cha Gongo la Mboto bila kujulikana
na wananchi aliopishana nao njiani, jana baada ya kiongozi huyo kufika...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Magufuli awatia kiwewe CCM
BAADHI ya wafanyabiashara kwa kushirikiana na sehemu ya viongozi waandamizi wa Chama Cha Mapinduz
Mwandishi Wetu
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
CHADEMA yapeleka kiwewe CCM
KWA siku 12 za Operesheni M4C Pamoja Daima, Chama cha Dekomrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekitia kiwewe Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho sasa kimelazimika kurejesha wabunge wake mikoani ili kujinusuru kutokana...