Lowassa aleta kiwewe
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
SHUGHULI za wafanyabiashara kwenye masoko ya Tandale, Tandika na Kariakoo jijini Dar es Salaam, zimesimama kwa muda jana baada ya mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kupita kwenye maeneo hayo.
Tofauti na juzi ambapo Lowassa alifanikiwa kufika kwenye kituo cha Daladala cha Gongo la Mboto bila kujulikana
na wananchi aliopishana nao njiani, jana baada ya kiongozi huyo kufika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Feb
RC Geita aleta kizaazaa
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Membe aleta utata kashfa ya ujangili
SERIKALI imeongeza utata wa kashfa ya ziara ya Rais Xi Jinping wa China aliyoifanya nchini Machi mwaka jana na kuibua madai kwamba maofisa waliokuwa wameambatana naye, walihusika na biashara haramu...
11 years ago
BBCSwahili19 Sep
Msomi wa kiisilamu aleta kero Afrika:K
10 years ago
GPL
Pluijm aleta kiungo wa kufuta aibu
11 years ago
GPL
Maximo aleta fomesheni nne Yanga
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Jaja ‘out’ Yanga, Maximo aleta nyota mwingine
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
JK aingiwa kiwewe
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amewataka wanachama wake kuacha unyonge na uwoga katika chaguzi mbalimbali ili kukabiliana na baadhi ya vyama vya siasa ambavyo vinafikiria siasa...
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
JK atia kiwewe
JOTO la nani ataondolewa kwenye Baraza la Mawaziri na nani atateuliwa limeanza kupanda miongoni mwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tayari majina kadhaa yameshaanza kutajwa kurithi viti vya mawaziri...
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Bazara la Mbowe kiwewe
BARAZA jipya la mawaziri kivuli lililotangazwa juzi na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, limeanza kukitia kiwewe Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Daima Jumapili limebaini. Mbowe alilisuka...