RC Geita aleta kizaazaa
Wamiliki wa Kampuni za Kusambaza Mbegu za Pamba na Dawa za kuua wadudu Kanda ya Ziwa, wamekamatwa na polisi ndani ya mkutano wa kawaida wa wadau wa bodi ya pamba, uliofanyika jana katika ukumbi wa halmashauri wilayani hapa mkoani Geita kwa tuhuma za kuhujumu zao hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Madereva wa bodaboda wazua kizaazaa Geita
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tkZn29GYSc0/VGiYVJ52nlI/AAAAAAAAT4M/3Kene5osCUc/s72-c/mtoto.jpg)
MTOTO ANAYEDAIWA KUGEUKA NYOKA AYEZUA KIZAAZAA HUKO GEITA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tkZn29GYSc0/VGiYVJ52nlI/AAAAAAAAT4M/3Kene5osCUc/s640/mtoto.jpg)
Mtoto huyo (jina lake tunalihifadhi kwa sasa), wiki iliyopita alivuta umati wa wakazi wa Kijiji cha Nkome mkoani Geita ambao walifurika ndani na nje ya Kanisa la AICT Nkome, lililopo kijiji hapo,...
9 years ago
Mtanzania26 Aug
Lowassa aleta kiwewe
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
SHUGHULI za wafanyabiashara kwenye masoko ya Tandale, Tandika na Kariakoo jijini Dar es Salaam, zimesimama kwa muda jana baada ya mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kupita kwenye maeneo hayo.
Tofauti na juzi ambapo Lowassa alifanikiwa kufika kwenye kituo cha Daladala cha Gongo la Mboto bila kujulikana
na wananchi aliopishana nao njiani, jana baada ya kiongozi huyo kufika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NNhUps-YDGt9JnB9TGpFXyeCBoqv6-v4WyPxzYYi6jdTmmZpJan7WqJ5qEHUoJPe479EpXp4MqRDtFHGDcmz7taGh18Q*NCn/1.gif?width=650)
Pluijm aleta kiungo wa kufuta aibu
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Msomi wa kiisilamu aleta kero Afrika:K
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Membe aleta utata kashfa ya ujangili
SERIKALI imeongeza utata wa kashfa ya ziara ya Rais Xi Jinping wa China aliyoifanya nchini Machi mwaka jana na kuibua madai kwamba maofisa waliokuwa wameambatana naye, walihusika na biashara haramu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgiIgH3ivbPZDY0fqDLJ5kLjYsY17ijKBqg*g1*niDusbnb4EiHOvj8-hPWVGqpZustoiigaOGCR4XPDaGzT62sO/maxi.jpg?width=650)
Maximo aleta fomesheni nne Yanga
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Jaja ‘out’ Yanga, Maximo aleta nyota mwingine