Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Membe aleta utata kashfa ya ujangili

SERIKALI imeongeza utata wa kashfa ya ziara ya Rais Xi Jinping wa China aliyoifanya nchini Machi mwaka jana na kuibua madai kwamba maofisa waliokuwa wameambatana naye, walihusika na biashara haramu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa amvaa JK kashfa ya ujangili

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, amesema kwamba hakuna namna ambavyo Serikali ya Rais Jakaya Kikwete inaweza kukwepe kuhusishwa na tuhuma za ujangili wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa IPTL utata mtupu

WAKATI Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), akitamba kuendelea kupiga kelele hadi fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Escrow zirudishwe, suala hilo linazidi kugubikwa na utata, Tanzania Daima Jumatano limebaini....

 

10 years ago

Mwananchi

Utata mpya waibuka kashfa ya ‘Miss Tanzania’ 2014

Hatima ya kashfa ya kudanganya umri inayomkabili aliyekuwa mrembo wa Tanzania mwaka 2014, Sitti Mtemvu bado ipo kizani baada ya polisi kuikana kauli ya Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita).

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

RC Geita aleta kizaazaa

Wamiliki wa Kampuni za Kusambaza Mbegu za Pamba na Dawa za kuua wadudu Kanda ya Ziwa, wamekamatwa na polisi ndani ya mkutano wa kawaida wa wadau wa bodi ya pamba, uliofanyika jana katika ukumbi wa halmashauri wilayani hapa mkoani Geita kwa tuhuma za kuhujumu zao hilo.

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa aleta kiwewe

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

SHUGHULI za wafanyabiashara kwenye masoko ya Tandale, Tandika na Kariakoo jijini Dar es Salaam, zimesimama kwa muda jana baada ya mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kupita kwenye maeneo hayo.

Tofauti na juzi ambapo Lowassa alifanikiwa kufika kwenye kituo cha Daladala cha Gongo la Mboto bila kujulikana
na wananchi aliopishana nao njiani, jana baada ya kiongozi huyo kufika...

 

11 years ago

GPL

Maximo aleta fomesheni nne Yanga

Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, amepanga kuthibitisha kuwa yeye ni bora kwa kutumia mifumo minne katika mechi za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika.
Kauli hiyo ameitoa kocha huyo akiwa na wiki tatu tangu aanze kukinoa kikosi hicho kinachojiandaa na ligi na michuano ya kimataifa watakayoshiriki mwakani. Akizungumza na Championi Jumamosi,...

 

10 years ago

GPL

Pluijm aleta kiungo wa kufuta aibu

Wilbert Molandi na Hans Mloli YANGA imeondolewa katika michuano ya Kombe la Kagame ambayo kesho itapigwa mechi ya fainali, kocha wa timu hiyo Hans van Der Pluijm ameona tatizo lipo kwa kiungo mkabaji na tayari amemtaja kiungo wa Al Khartoum ya Sudan, Anthony Akumu kuwa lazima amsajili. Kocha huyo, hivi karibuni alitoa mapendekezo ya kumsajili kiungo mmoja mkabaji mwenye uwezo mkubwa kwenye kikosi chake kinachojiandaa na msimu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msomi wa kiisilamu aleta kero Afrika:K

Msomi wa kiisilamu amezindua rasmi msikiti ambao anasema wapenzi wa jinsia moja wataruhusiwa kusali ndani na wanawake kuongoza sala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani