JK atia kiwewe
JOTO la nani ataondolewa kwenye Baraza la Mawaziri na nani atateuliwa limeanza kupanda miongoni mwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tayari majina kadhaa yameshaanza kutajwa kurithi viti vya mawaziri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
JK aingiwa kiwewe
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amewataka wanachama wake kuacha unyonge na uwoga katika chaguzi mbalimbali ili kukabiliana na baadhi ya vyama vya siasa ambavyo vinafikiria siasa...
9 years ago
Mtanzania26 Aug
Lowassa aleta kiwewe
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
SHUGHULI za wafanyabiashara kwenye masoko ya Tandale, Tandika na Kariakoo jijini Dar es Salaam, zimesimama kwa muda jana baada ya mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kupita kwenye maeneo hayo.
Tofauti na juzi ambapo Lowassa alifanikiwa kufika kwenye kituo cha Daladala cha Gongo la Mboto bila kujulikana
na wananchi aliopishana nao njiani, jana baada ya kiongozi huyo kufika...
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Bazara la Mbowe kiwewe
BARAZA jipya la mawaziri kivuli lililotangazwa juzi na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, limeanza kukitia kiwewe Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Daima Jumapili limebaini. Mbowe alilisuka...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Magufuli awatia kiwewe CCM
BAADHI ya wafanyabiashara kwa kushirikiana na sehemu ya viongozi waandamizi wa Chama Cha Mapinduz
Mwandishi Wetu
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
CHADEMA yapeleka kiwewe CCM
KWA siku 12 za Operesheni M4C Pamoja Daima, Chama cha Dekomrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekitia kiwewe Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho sasa kimelazimika kurejesha wabunge wake mikoani ili kujinusuru kutokana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DduFeVb1FapN*QlbDWEdWQgB8IlQT42PIhLv7VsqmIA7lxh2TiRGTMWVypp4h0tgfUAk8mAyHH05Q04fY5m4FY*/Kiwewe.jpg?width=650)
KIWEWE: NIPO NA MATUMAINI KIKAZI TU
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
UKAWA yatia kiwewe Serikali
SERIKALI imeonesha dalili za kukata tamaa ya kuendelea na mchakato wa Katiba mpya kutokana na wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutolegeza msimamo wa kurejea bungeni,...
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Warioba atia hofu CCM
KITENDO cha wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji Joseph Warioba, kujitokeza katika mdahahlo na kujibu upotoshwaji ulioyokuwa ukifanywa na baadhi ya viongozi waandamizi wa Serikali...
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Mama Samia ampa kiwewe Sandra
Msanii wa filamu Bongo, Salama Salmini ‘Sandra.
Na Gladness Mallya
MAKUBWA! Msanii wa filamu Bongo, Salama Salmini ‘Sandra’ hivi karibuni alijikuta akipata kiwewe mbele ya Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu kwa kurudia kupiga naye picha zaidi ya mara mbili.
Ishu hiyo ilitokea wakati Mama Samia akiongoza kufanya usafi maeneo ya Kinondoni, Dar ambaye baada ya zoezi hilo, alipozi ili kupiga picha na wananchi mbalimbali waliojitokeza kuunga mkono wito wa Rais Magufuli wa kufanya usafi.
“Unajua...