Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama Samia ampa kiwewe Sandra

sandra35Msanii wa filamu Bongo, Salama Salmini ‘Sandra.

Na Gladness Mallya
MAKUBWA! Msanii wa filamu Bongo, Salama Salmini ‘Sandra’ hivi karibuni alijikuta akipata kiwewe mbele ya Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu kwa kurudia kupiga naye picha zaidi ya mara mbili.

Ishu hiyo ilitokea wakati Mama Samia akiongoza kufanya usafi maeneo ya Kinondoni, Dar ambaye baada ya zoezi hilo, alipozi ili kupiga picha na wananchi mbalimbali waliojitokeza kuunga mkono wito wa Rais Magufuli wa kufanya usafi.

“Unajua...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SANDRA AMPA TANO STEVE NYERERE

Stori: Rhoda Josiah CHUKUA tano! Staa sinema za Kibongo, Salma Salim ‘Sandra’ amesema kuwa kutoka moyoni mwake anamkubali msanii mwenzake, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ baaada ya kupewa nafasi ya Ukatibu Kata ya Bwawani, Kinondoni jijini Dar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Staa wa sinema za Kibongo, Salma Salim ‘Sandra’. Akipiga stori mbili tatu  na mwandishi wa gazeti hili, Sandra...

 

9 years ago

Michuzi

MAMA SAMIA, NAPE NA MAMA SALMA KIKWETE WAITIKISA LINDI MKUTANO WA KAMPENI

 Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, AbdallaMadebe ambaye alikuwa ndiye mpigadebe mkubwa wa Mbunge anayemaliza mda wake wa Lindi mjini, maarufu kwa jina la Bwege, akibebwa na wananchi baada ya kutangaza kuhamia CCM, katika mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi leo. Pamoja na Katibu huyo wanachama wengine 38 walihamia CCM. Wananchi akishangilia wakati wa mkutano wa kampeni...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA MKOANI RUVUMA

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika mkutano wa kampeni aliofanya eneo la Magazini, jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma leoMgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi kwenye mkutano wa kampeni aliofanya leo, eneo la Magazini, Jimbo la Namtumbo mkoani RuvumaMgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samaia Suluhu Hassani akizungumza na kijana Lucas Luchinga, mwenye ulemavu aliyemkuta enoel la...

 

9 years ago

Vijimambo

NAPE AKUTANA NA MAMA SAMIA LINDI

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mgombea Ubunge jimbo la Rufiji Mohammed Mchengerwa wakati wa mkutan wa kampeni uliofanyika Sepemba 12, 2015 katika jimbo hilo. Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Rufiji Dk. Seleman Rashid akiteta jambo na aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Mkuranga Adam Malima, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanywa na Mama Samia katika jimbo la Rufiji septemba 12, 2015. Bibi Mwanahawa Saidi akitangaza kuhama CUF kurejea CCM,...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA ALIVYOTEKA MIKINDANI NA MAFIALEO

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni, uliofanyika leo katika mji mdogo wa Mikindani mkoani Mtwara. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMOWananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika mji mdogo wa Mikindani mkoani MtwaraWananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA, LONGIDO NA MONDULI LEO

Mgombea mwenza kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akihutubia mkutano wa hadhara leo katika eneo la Namanga, Longido mkoani Arusha leo. (Picha zote na Bashir Nkoromo) Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akiwasikiliza mama waiokuwa wakichota maji katika eneo la mtaa wa madukani, Longido mkoani Arusha.Mbunge wa Afrika Mashariki, Agela Kizigha, akizungumza na kina mama wa eneo la Madukani, Longido mkoani Arusha leo. wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea wenza wa...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA APIGA KAMPENI MORO

Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ukiwasili mkoani Morogoro leo ukitokea mkoani Dodoma.Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, MamaSamia Suluhu Hassan akimsalimia Katibu wa CCM mkoa wa Morgoro Rojas Rumuli wakati wa mapokezi yake, alipowasili mkoani Morogoro kufanya mikutano ya kameni katika mkoa huo leoMgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimsalimia mgombea Ubunge Jimbo la Gairo, Ahmed Shabby wakati alipowasili...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mama Samia Suluhu Amuokoa Wastara

Msanii wa Filamu, Wastara Juma amemshukuru Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu kwa msaada wake katika matibabu ya awali ya mguu wake licha ya kwamba bado zinahitajika zaidi ya shilingi milioni 10 ili aweze kutembea vizuri.

Akizungumza na Ijumaa kwa njia ya simu kutokea Nairobi-Kenya, Wastara alisema katika hatua ya awali ya kutibu mguu wake Mama Samia alimsaidia kiasi fulani cha fedha hivyo anamshukuru sana.

“Nimefanyiwa matibabu ya awali ambayo zimetumika fedha nyingi sana, kati ya hizo...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AANZA KAMPENI KILIMNJARO

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan akilakiwa na wananchi baada ya kuwasili Ofsi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro leo.Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCMSamia Suluhu Hassan, akimtazama mtoto, alipokagua Kituo cha Afya cha Hedalu wilayani Same mkoani Kilimanjaro leoMgombea mwenza kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan akivishwa skafu na Kijana wa CCM baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro leo Mama Suluhu Hassan akisani kitabu baada ya kuwasili Ofisi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani