Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA SAMIA APIGA KAMPENI MORO

Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ukiwasili mkoani Morogoro leo ukitokea mkoani Dodoma.Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, MamaSamia Suluhu Hassan akimsalimia Katibu wa CCM mkoa wa Morgoro Rojas Rumuli wakati wa mapokezi yake, alipowasili mkoani Morogoro kufanya mikutano ya kameni katika mkoa huo leoMgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimsalimia mgombea Ubunge Jimbo la Gairo, Ahmed Shabby wakati alipowasili...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA APIGA KAMPENI SIRARI MKOANI MARA LEO

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Musoma, kuendelea na ziara za mikutano ya kampeni katika mkoa wa Mara leo. (Picha na Bashir Nkoromo).Mgomea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mgombea Ubunge jimbo la Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Musoma, kuendelea na ziara za mikutano ya kampeni katika mkoa wa Mara leo  Mgombea Mwenza wa...

 

9 years ago

GPL

MAMA SAMIA APIGA KAMPENI SIRARI MKOANI MARA LEO‏

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Musoma, kuendelea na ziara za mikutano ya kampeni katika mkoa wa Mara leo. Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akifurahia Mcheza Ngoma alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Musoma, kuendelea na ziara za mikutano ya kampeni katika mkoa wa Mara leo. Mgomea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,...

 

9 years ago

Michuzi

MAMA SAMIA, NAPE NA MAMA SALMA KIKWETE WAITIKISA LINDI MKUTANO WA KAMPENI

 Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, AbdallaMadebe ambaye alikuwa ndiye mpigadebe mkubwa wa Mbunge anayemaliza mda wake wa Lindi mjini, maarufu kwa jina la Bwege, akibebwa na wananchi baada ya kutangaza kuhamia CCM, katika mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi leo. Pamoja na Katibu huyo wanachama wengine 38 walihamia CCM. Wananchi akishangilia wakati wa mkutano wa kampeni...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AANZA KAMPENI KILIMNJARO

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan akilakiwa na wananchi baada ya kuwasili Ofsi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro leo.Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCMSamia Suluhu Hassan, akimtazama mtoto, alipokagua Kituo cha Afya cha Hedalu wilayani Same mkoani Kilimanjaro leoMgombea mwenza kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan akivishwa skafu na Kijana wa CCM baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro leo Mama Suluhu Hassan akisani kitabu baada ya kuwasili Ofisi ya...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AANZA KAMPENI MKOANI KAGERA

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Buseresere, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leoVijana wa Buseresere, wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samaia Suluhu Hassan, msafara wake uliposimamishwa na vijana katika eneo hilo wakati akiwa  njiani kutoka Geita kwenda Bukoba mkoani Kagera leoWananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AMALIZA KAMPENI SIMIYU LEO

Kinamama wa mkoa wa Simiyu, wakimtawaza kuwa Mama Kiongozi wa Wasukuma, kwa kumvalisha mavazi rasmi Mgombea Mwenza wa Urais kwa timeti ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani humo leo. Jimbo hilo lilikuwa chini ya Mbunge wa Chadema, KasulumbaiKinamama wa mkoa wa Simiyu, wakimtawaza kuwa Mama Kiongozi wa Wasukuma, kwa kumvalisha mavazi rasmi Mgombea Mwenza wa Urais kwa timeti ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati...

 

9 years ago

Michuzi

MAMA SAMIA AKIENDELEA NA KAMPENI MTAMA NA RUANGWA

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika jana, Septemba 15, katika eneola Nyangao, jimbola Mtama mkoani Lindi. Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Sukuhu Hassan akijadili jambo na Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM, jimbo la Mtama, Katiu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, wakati wa mkutani wa Kampeni uliofanyika jana Septemba 15, 2015 katika eneo la Nyangao, jimoni humo...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AMALIZA KAMPENI MKOANI TABORA LEO

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihtubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo la Usoke, katika jimbo la Urambo Magharibi mkoani TaboraAliyekuwa Mgombea Ubunge jimbo la Sikonge, lakini akaanguka katika kura za maoni, Said Nkumba, akimnadi akimnadi Mgombea wa Ubunge wa jimbo hilo aliyeshinda, George Kagunda, wakati wa mkutano wa kampeni wa Mgomba Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Tabora

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AMALIZA KAMPENI MWANZA NA KUSHAMBULIA SHINYANGA

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akiwa katika Kivuko cha mv Misungwi, wakati akitoka Mwanza kwenda Sengerema mkoani humo, kuendelea na kampeni leo Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi (Hawapo Pichani) aliosafiri nao katika Kivuko cha Misungwi, wakati akienda Sengerema kutoka jijini Mwanza, kwenda Sengerema kuendelea na kampeni zake leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani