SANDRA AMPA TANO STEVE NYERERE
![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQBJAQjv5rn63GtxRgWauIrrTx*MqeoQ3igEtlLp1WgUn1gS8fqyGO8T-g68c627DkOlpqpcKPYgSRe4qDpsZj6/stevenyerere.jpg)
Stori: Rhoda Josiah CHUKUA tano! Staa sinema za Kibongo, Salma Salim ‘Sandra’ amesema kuwa kutoka moyoni mwake anamkubali msanii mwenzake, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ baaada ya kupewa nafasi ya Ukatibu Kata ya Bwawani, Kinondoni jijini Dar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Staa wa sinema za Kibongo, Salma Salim ‘Sandra’. Akipiga stori mbili tatu na mwandishi wa gazeti hili, Sandra...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS3Ht48tPv0pZhQCnB*s8R5hnosO*LixDEi-4fXuBaTABg2aqz4K*DEaSSHrTKjmEwHrLyMIPd3y7DKU6OP2jaIk/SANDRA.jpg?width=650)
STEVE NYERERE, SANDRA WAGANDANA KAMA RUBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqJ8ppxSrirjueMVS1BvZ24xvBNAo71s*5mKssQzN7exLI54aHj8cTPMTFoOEXvMWTw9T-8UHFnew3cnfa1Y2Asf/STVEN.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AMPA JK ZAWADI YA BETHIDEI YAKE
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Mama Samia ampa kiwewe Sandra
Msanii wa filamu Bongo, Salama Salmini ‘Sandra.
Na Gladness Mallya
MAKUBWA! Msanii wa filamu Bongo, Salama Salmini ‘Sandra’ hivi karibuni alijikuta akipata kiwewe mbele ya Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu kwa kurudia kupiga naye picha zaidi ya mara mbili.
Ishu hiyo ilitokea wakati Mama Samia akiongoza kufanya usafi maeneo ya Kinondoni, Dar ambaye baada ya zoezi hilo, alipozi ili kupiga picha na wananchi mbalimbali waliojitokeza kuunga mkono wito wa Rais Magufuli wa kufanya usafi.
“Unajua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3miA3ic*pLdmh-scZdnodBATidiFT0F5ZHLRuiUD558a3iByHsE9sIBrIiGTAj*9Yy7DiO41BQZ9uHPG7H*vZsMh/bby.jpg)
BABY MADAHA AMPA TANO MAGUFULI
9 years ago
Bongo508 Dec
Video: Nay wa Mitego ampa tano Magufuli
![12317395_778108658985561_983193373_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12317395_778108658985561_983193373_n-300x194.jpg)
Utendaji wa Rais Dkt John Magufuli umeendelea kupongezwa na watu wa itikadi na misimamo mbalimbali tangu achukue madaraka ya juu ya nchi.
Rapper Nay wa Mitego ambaye wakati wa uchaguzi alikuwa bega kwa bega kumnadi aliyekuwa mgombea kupitia vyama vinavyounda muungano wa UKAWA, Edward Lowassa, amempongeza Magufuli na kwa kuda kuwa ni mchapakazi.
Amesema kama ataendelea na kasi aliyonayo sasa, uchaguzi ujao ataipata kura yake.
“Mimi napenda anachokifanya na napenda tu niamini au napenda...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-WOvw9VXukok/VmjaYEI6smI/AAAAAAAAXa4/NbLLjL0e9w4/s72-c/mtei%252Bpx.jpg)
Muasisi wa Chadema ampa tano Rais Magufuli
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Steve Nyerere: Wamenikomoa
MWENYEKITI wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, amesema anaumizwa na baadhi ya wasanii ambao hawampi ushirikiano licha ya kumpa kura nyingi siku ya uchaguzi, akisema yaonekana walifanya hivyo ili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwk2SO0wEl2lczDUB8-R17d7odd*4lERDpPVd*RsZ4AF7jF4zGnI-JHSckkKvxvxO9yyzfX5lQqF3Cspf58MsJjV/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE, BATULI HAPATOSHI
9 years ago
Bongo Movies13 Nov
Steve Nyerere Alishwa Sumu
STAA wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kula chakula chenye sumu na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali ya Hurbert Kairuki Memorial iliyopo Mikocheni jijini Dar, Amani linakupa ripoti kamili.
Kwa mujibu wa chanzo, Steve alifika hotelini (jina linahifadhiwa) kupata chakula cha jioni na marafiki zake ambapo baada ya kula kidogo akaanza kulalamika tumbo linamuuma.
“Baada ya kula chakula alianza kushika tumbo na kulalamika kwamba...