Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muasisi wa Chadema ampa tano Rais Magufuli

WATANZANIA wa Kada mbalimbali wamempongeza Rais John Magufuli kwa kuokoa mamilioni ya shilingi ambayo yangetumika kwenye maazimisho ya miaka 54 ya uhuru wa Tanzania, Anaandika Faki Sosi…(endelea).Mwenyekiti wa kwanza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia Muasisi wa chama hicho, Edwin Mtei, amesema kuwa uamuzi wa Rais Magufuli wa kufuta sherehe za uhuru utakuwa umeleta tija

CHADEMA Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BABY MADAHA AMPA TANO MAGUFULI

Mwandishi wetu STAA wa filamu na muziki, Baby Madaha amesema endapo mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli atakuwa rais, anaamini nchi itakuwa na maendeleo zaidi. Akipiga stori na gazeti hili, Baby Madaha alisema kwamba amefurahia sana ushindi  wa Magufuli kwani ni kiongozi bora.....Soma zaidi===>http://bit.ly/1CHSgcH ...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Nay wa Mitego ampa tano Magufuli

12317395_778108658985561_983193373_n

Utendaji wa Rais Dkt John Magufuli umeendelea kupongezwa na watu wa itikadi na misimamo mbalimbali tangu achukue madaraka ya juu ya nchi.

Rapper Nay wa Mitego ambaye wakati wa uchaguzi alikuwa bega kwa bega kumnadi aliyekuwa mgombea kupitia vyama vinavyounda muungano wa UKAWA, Edward Lowassa, amempongeza Magufuli na kwa kuda kuwa ni mchapakazi.

Amesema kama ataendelea na kasi aliyonayo sasa, uchaguzi ujao ataipata kura yake.

“Mimi napenda anachokifanya na napenda tu niamini au napenda...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkapa ampa wasia Rais Magufuli

Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa amempa wasia Rais Dk John Magufuli, akitaka Serikali yake ikae na wadau ili kuinua kiwango cha taaluma kinachotolewa nchini.

 

9 years ago

Habarileo

UVCCM yampa tano Rais Magufuli

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umesema unaunga mkono kasi ya utekelezaji kazi wa serikali ya awamu ya tano, chini ya Rais John Magufuli na kwamba anachofanyika sasa ndio kiu ya Watanzania.

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Shulu Hassan, akisalimiana Mwambata wa Kijeshi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Brig. Gen Ibrahim A. Kimario, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Olver Tambo jijini Johanesburg kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China.   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Shulu Hassan, akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini, Radhia Msuya, wakati alipowasili...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG LEO.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Rais wa China, Xi Jinping, wakati wa Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China (China-Africa Forum) uliofanyika leo Dec 4, 2015 jijini Johannesburg. Mhe. Samia amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano huo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Shulu Hassan, akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini, Radhia Msuya, wakati...

 

9 years ago

Habarileo

Wenyeviti CCM wampa tano Rais Magufuli

WENYEVITI wa Mikoa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini, wamempongeza na kuunga mkono hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Rais John Magufuli za kutumbua majipu. Wamempongeza Dk Magufuli kwa hatua za kubana matumizi ya umma, kuziba mianya ya rushwa, kupiga vita ubadhirifu wa mali ya umma na kurejesha nidhamu na uwajibikaji kwenye taasisi za umma na nchi kwa ujumla.

 

9 years ago

Habarileo

BREAKING NEWS: Magufuli rais wa awamu ya tano

MGOMBEA urais wa Jamhauri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Tanzania kwa asilimia 58.46 ya kura zote zilizopigwa kufuatia uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 mwezi huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani