Mkapa ampa wasia Rais Magufuli
Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa amempa wasia Rais Dk John Magufuli, akitaka Serikali yake ikae na wadau ili kuinua kiwango cha taaluma kinachotolewa nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-WOvw9VXukok/VmjaYEI6smI/AAAAAAAAXa4/NbLLjL0e9w4/s72-c/mtei%252Bpx.jpg)
Muasisi wa Chadema ampa tano Rais Magufuli
WATANZANIA wa Kada mbalimbali wamempongeza Rais John Magufuli kwa kuokoa mamilioni ya shilingi ambayo yangetumika kwenye maazimisho ya miaka 54 ya uhuru wa Tanzania, Anaandika Faki Sosi…(endelea).Mwenyekiti wa kwanza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia Muasisi wa chama hicho, Edwin Mtei, amesema kuwa uamuzi wa Rais Magufuli wa kufuta sherehe za uhuru utakuwa umeleta tija
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s72-c/mk3.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AIPONGEZA MKAPA FOUNDATION KWA UJENZI WA NYUMBA ZA MADAKTARI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s640/mk3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/mk4.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0wEmiAmgzgN01Z2sYoL55lLclLS*6SyICPJ0oV9KQ9ooo6Du1IHREFW5PBzCeNQykCmytZb7o1E-WSQsbBwK79/1mkapanamagufuli.jpg?width=650)
RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA ALIPOMKABIDHI DK. MAGUFULI NAKALA ZA VITABU VYA HOTUBA ZAKE
Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa (kushoto) akimkabidhi Dk. John Magufuli nakala za vitabu vya hotuba zake. Nakala za vitabu vya hotuba za Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa alivyomkabidhi Magufuli .
Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William…
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6i_isjjBFrU/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Magufuli ampa CAG ‘hesabu’
Rais John Magufuli ameitaka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ihakikishe Tanzania inaongeza ukusanyaji wa mapato kutoka asilimia 14 ya Pato la Taifa (GDP) hadi kufikia kiwango cha juu zaidi huku akitaka wananchi wafuate sheria.
11 years ago
Habarileo09 Jul
Mwenyekiti TLP ampa mbuzi Magufuli
MWENYEKITI Chama cha Tanzania Labour (TLP) wa Mkoa wa Mara, Mafwili Munyaga, amekabidhi mbuzi wawili Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli na kumuomba agombee nafasi ya juu katika uchaguzi mkuu ujao.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-C4tpLo1Ef3c/Vet5MQxDmJI/AAAAAAAD6M4/0tVnSLatZis/s72-c/6568c3319ebefa401cdad832cce40a61.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3miA3ic*pLdmh-scZdnodBATidiFT0F5ZHLRuiUD558a3iByHsE9sIBrIiGTAj*9Yy7DiO41BQZ9uHPG7H*vZsMh/bby.jpg)
BABY MADAHA AMPA TANO MAGUFULI
Mwandishi wetu
STAA wa filamu na muziki, Baby Madaha amesema endapo mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli atakuwa rais, anaamini nchi itakuwa na maendeleo zaidi. Akipiga stori na gazeti hili, Baby Madaha alisema kwamba amefurahia sana ushindi wa Magufuli kwani ni kiongozi bora.....Soma zaidi===>http://bit.ly/1CHSgcH ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania