Magufuli ampa CAG ‘hesabu’
Rais John Magufuli ameitaka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ihakikishe Tanzania inaongeza ukusanyaji wa mapato kutoka asilimia 14 ya Pato la Taifa (GDP) hadi kufikia kiwango cha juu zaidi huku akitaka wananchi wafuate sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo9 years ago
Mwananchi07 Nov
Mkapa ampa wasia Rais Magufuli
11 years ago
Habarileo09 Jul
Mwenyekiti TLP ampa mbuzi Magufuli
MWENYEKITI Chama cha Tanzania Labour (TLP) wa Mkoa wa Mara, Mafwili Munyaga, amekabidhi mbuzi wawili Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli na kumuomba agombee nafasi ya juu katika uchaguzi mkuu ujao.
10 years ago
GPLBABY MADAHA AMPA TANO MAGUFULI
9 years ago
CHADEMA BlogMuasisi wa Chadema ampa tano Rais Magufuli
9 years ago
Bongo508 Dec
Video: Nay wa Mitego ampa tano Magufuli
Utendaji wa Rais Dkt John Magufuli umeendelea kupongezwa na watu wa itikadi na misimamo mbalimbali tangu achukue madaraka ya juu ya nchi.
Rapper Nay wa Mitego ambaye wakati wa uchaguzi alikuwa bega kwa bega kumnadi aliyekuwa mgombea kupitia vyama vinavyounda muungano wa UKAWA, Edward Lowassa, amempongeza Magufuli na kwa kuda kuwa ni mchapakazi.
Amesema kama ataendelea na kasi aliyonayo sasa, uchaguzi ujao ataipata kura yake.
“Mimi napenda anachokifanya na napenda tu niamini au napenda...
10 years ago
Vijimambo01 May
Jerry Silaa ampa Magufuli mbinu za kushinda Urais
Dar es Salaam. Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amemtaka Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kuangalia uwezekano wa kuongeza fedha za Mfuko wa Barabara katika mkoa wa Dar es Salaam ili kujihakikishia kura ikiwa atagombea Urais kama anavyotajwa.Silaa alitoa kauli hiyo juzi wakati wa hafla ya...
10 years ago
Mwananchi01 May
KAMPENI: Jerry Silaa ampa Magufuli mbinu za kushinda Urais
9 years ago
Mtanzania18 Dec
CAG akiuka agizo la Rais Magufuli
*Adaiwa kutumia Sh milioni 15 kwa siku tatu
Na Masyaga Matinyi
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad, amekiuka agizo la Rais Dk. John Magufuli, baada kusafiri nje ya nchi bila kibali cha Ikulu.
Vyanzo vya habari kutoka ofisini kwake, vimedai kuwa CAG aliondoka nchini Jumamosi (Desemba 12, 2015) kwenda jijini Nairobi, Kenya na kurejea nchini Jumanne wiki hii.
Taarifa hizo, zimesema CAG alikwenda kutoa mhadhara katika Chuo Kikuu cha Nairobi, kazi ambayo...