Mwenyekiti TLP ampa mbuzi Magufuli
MWENYEKITI Chama cha Tanzania Labour (TLP) wa Mkoa wa Mara, Mafwili Munyaga, amekabidhi mbuzi wawili Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli na kumuomba agombee nafasi ya juu katika uchaguzi mkuu ujao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Mwenyekiti wa TLP amfagilia Waziri Dk Magufuli
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Magufuli ampa CAG ‘hesabu’
5 years ago
MichuziMkutano Mkuu wa TLP kumpitisha Mgombea Urais Dkt. John Pombe Magufuli wa CCM.
Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimesema kuwa Mkutano mkuu wa chama hicho utaofanyika Mei 9 mwaka huu Kitapitisha Mgombea wa Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa Chama hicho Agustino Latonga Mrema amesema kuwa jina Mgombea Urais lilisgapitishwa na Halmashauri Kuu Chama na kilichobaki ni kudhibitisha jina la Mgombea huyo.
Amesema kuwa katika uchaguzi mkuu hakuna haja ya kuweka Mgombea...
10 years ago
GPL
BABY MADAHA AMPA TANO MAGUFULI
10 years ago
Vijimambo
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Mkapa ampa wasia Rais Magufuli
9 years ago
Bongo508 Dec
Video: Nay wa Mitego ampa tano Magufuli

Utendaji wa Rais Dkt John Magufuli umeendelea kupongezwa na watu wa itikadi na misimamo mbalimbali tangu achukue madaraka ya juu ya nchi.
Rapper Nay wa Mitego ambaye wakati wa uchaguzi alikuwa bega kwa bega kumnadi aliyekuwa mgombea kupitia vyama vinavyounda muungano wa UKAWA, Edward Lowassa, amempongeza Magufuli na kwa kuda kuwa ni mchapakazi.
Amesema kama ataendelea na kasi aliyonayo sasa, uchaguzi ujao ataipata kura yake.
“Mimi napenda anachokifanya na napenda tu niamini au napenda...
9 years ago
CHADEMA Blog
Muasisi wa Chadema ampa tano Rais Magufuli
5 years ago
Michuzi
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR DKT SHEIN JIJINI DODOMA

