TANZANIA NA INDIA ZINAWEZA KUFANYA VIZURI ZAIDI KIBIASHARA, RAIS KIKWETE
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXVs5YppiYE/VYMtRKnBLEI/AAAAAAAAex4/pQN-jL3F2R8/s72-c/INDIA%2B357.jpg)
Na Ally Kondo, Delhi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa licha ya biashara kati ya Tanzania na India kuongezeka katika miaka ya hivi karibuni, bado kuna nafasi ya kufanya vizuri zaidi endapo fursa zilizopo zitatumiwa ipasavyo.
Rais Kikwete alisema hayo alipokuwa anaongea na Watendaji Wakuu wa Makampuni Makubwa ya India jijini Delhi leo tarehe 18 Juni 2015.
Rais Kikwete yupo nchini India kwa ziara ya Kitaifa ya siku nne iliyoanzia Siku ya Jumanne tarehe 17 Juni, 2015. Alisema kuwa lengo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Rais Kikwete ataka NHC ipewe uhuru zaidi kibiashara
10 years ago
MichuziRAIS NA WAZIRI MKUU WA INDIA WAMPOKEA RASMI RAIS KIKWETE IKULU YA INDIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Wnh49ymr4yE/VXXBsTp26LI/AAAAAAAC54M/v_0P5Ihf278/s72-c/China%2BPix%2B1.jpg)
WATAALAM WA BIASHARA NA VIWANDA TANZANIA KUTEMBELEA CHINA KUSAKA FURSA ZA KIBIASHARA ZAIDI.
Hatua hiyo inakuja miezi michache baada ya ziara ya Rais Jakaya Kikwete nchini ambapo serikali ya China ilikubali kusaidia Tanzania katika maendeleo na uendeshaji wa Viwanda nchini.
Akizungumza wakati wa sherehe ya...
10 years ago
CloudsFM14 Nov
RAIS KIKWETE ATOKA WODINI, AENDELEA VIZURI
Rais Jakaya Kikwete ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye hoteli maalumu ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.
Rais Kikwete alifanyiwa upasuaji wa tezi dume wiki iliyopita na afya yake imekuwa ikiimarika siku hadi siku.
Makundi mbalimbali ya wananchi yamekuwa yakimtakia uponaji wa haraka kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu. Miongoni mwa waliomtakia afya njema ni familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ambayo imeeleza kupokea kwa...
9 years ago
Bongo504 Jan
Vanessa Mdee amtaja mwanaume anayevaa vizuri zaidi Tanzania, naye ni?
![915526_1674671109457520_1194222309_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/915526_1674671109457520_1194222309_n-300x194.jpg)
Vanessa Mdee amemtaja mwanaume wa Tanzania anayemuona kuwa ndiye anayevaa vizuri zaidi kuliko wote.
Naye si mwingine zaidi ya mpenzi wake, Jux.
“Jux has effortless style,” Vanessa Mdee amuambia Diva kwenye mahojiano aliyofanya naye kwaajili ya blog yake.
“He’s got a knack for spotting out, pairing and pulling off a lot of different looks and styles.”
Kwenye mahojiano hayo pia Vanessa alieleza vazi alilowahi kuvaa na kujuta.
“It was a performance outfit and I later realised after my show how...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gtE7hyF583U/VfKyg7e2dUI/AAAAAAAH4A8/R9Uja-tzfBk/s72-c/TASWALOGO1.jpg)
TASWA KUTOA TUZO KWA RAIS KIKWETE PAMOJA NA WANAMICHEZO WANAOFANYA VIZURI
![](http://4.bp.blogspot.com/-gtE7hyF583U/VfKyg7e2dUI/AAAAAAAH4A8/R9Uja-tzfBk/s1600/TASWALOGO1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vuzILx0nhoU/VYdaMHINjeI/AAAAAAAAe_A/xABTgPhNEmY/s72-c/INDIA%2B058.jpg)
Rais Kikwete aongea na Watanzania wanaoishi India
![](http://4.bp.blogspot.com/-vuzILx0nhoU/VYdaMHINjeI/AAAAAAAAe_A/xABTgPhNEmY/s640/INDIA%2B058.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Jun
India , China zinaonyesha ushindani wa kweli kibiashara duniani