Rais Kikwete aongea na Watanzania wanaoishi India

Rais Jajaya Mrisho Kikwete akiongea na Watanznia wanaoishi India katika Hotel ya Taj Palace jijini Delhi. Rais Kikwete aliwaeleza mambo ya maendeleo yaliyofanywa na Serikali ya awamu ya nne ikiwemo ujenzi wa miundombinu kama vile barabara, maji, umeme na uboreshaji wa bandari ya Dar es Salaam. Aidha, aliwambia mipango iliyopo ya kujenga bandari ya Bagamoyo na reli ya kati ya kisasa. Aliwaeleza pia hali ya kisiasa, hususan maandalizi ya uchguzi mkuu ambapo zoezi la kuchukua fomu za kuwania...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 Jun
RAIS WA ZANZIBAR DR. SHEIN AONGEA NA WATANZANIA WANAOISHI UJERUMANI MJINI WUERZBURG




WUERZBURG,...
11 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AONGEA NA MAMIA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete akutana na Watanzania waishio India na Wawekezaji

10 years ago
VijimamboRais wa Zanzibar aongea na Watanzania Ujerumani
10 years ago
MichuziRAIS NA WAZIRI MKUU WA INDIA WAMPOKEA RASMI RAIS KIKWETE IKULU YA INDIA
10 years ago
VijimamboRais Kikwete akutana na Watanzania waishio India-akutana na Wawekezaji
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZUNGUMZA NA WATANZANIA WANAOISHI NCHINI NIGERIA
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE ATUA MAGOLE, AKAGUA DARAJA LA DUMILA, AONGEA NA WANANCHI