WATAALAM WA BIASHARA NA VIWANDA TANZANIA KUTEMBELEA CHINA KUSAKA FURSA ZA KIBIASHARA ZAIDI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wnh49ymr4yE/VXXBsTp26LI/AAAAAAAC54M/v_0P5Ihf278/s72-c/China%2BPix%2B1.jpg)
TIMU ya wataalam wa biashara kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara na wafanyabiashara wengine wa nchini Tanzania wanatarajiwa kutembelea China baadaye Julai mwaka huu, ikiwa ni katika jitihada za kutafuta fursa za ki biashara ambazo zinaweza kutumika kuleta maendeleo nchini.
Hatua hiyo inakuja miezi michache baada ya ziara ya Rais Jakaya Kikwete nchini ambapo serikali ya China ilikubali kusaidia Tanzania katika maendeleo na uendeshaji wa Viwanda nchini.
Akizungumza wakati wa sherehe ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboARSENAL FC YATEMBELEA PSPF KWA LENGO LA KUSAKA FURSA ZA MAHUSIANO YA KIBIASHARA
10 years ago
MichuziARSENAL FC YATEMBELEA PSPF KWA LENGO LA KUSAKA FURSA ZA MAHUSIANO YA KIBIASHARA.
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA CHINA 2015, DAR ES SALAAM LEO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara afungua maonyesho ya bidhaa za China ukumbi wa Diamond Jubilee
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa kufungua maonyesho ya bidhaa za China 2015, katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Mpiga picha wetu).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (katikati) akikata utepe kufungua maonyesho ya bidhaa za China 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa...
10 years ago
MichuziWaziri wa Viwanda ba Biashara Dr. Kigoda afunga mafunzo ya wajasiliamali zaidi ya 3500 jijini Dar es Salaam
11 years ago
Habarileo18 Jun
Makamu wa Rais China kutembelea Tanzania
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini kuanzia Juni 21 hadi 26. Hayo yalisemwa leo na Balozi wa Tanzania nchini China, Abrahaman Shimbo wakati akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BDlvIDeZhzhyFhG-oDmpUFxTcZsJdUQbit2QU2l7qd2FHogmftZzox6vf9ZsOUq-80ZxV9WGpVsqKPzO-PhWJcyAcTC5Bq0l/1.jpg?width=650)
AIRTEL FURSA YAWEZESHA VIJANA ZAIDI YA 200 ARUSHA MBINU ZA KUENDESHA BIASHARA ZAO
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Tanzania:Waziri wa Viwanda na Biashara aaga dunia
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXVs5YppiYE/VYMtRKnBLEI/AAAAAAAAex4/pQN-jL3F2R8/s72-c/INDIA%2B357.jpg)
TANZANIA NA INDIA ZINAWEZA KUFANYA VIZURI ZAIDI KIBIASHARA, RAIS KIKWETE
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXVs5YppiYE/VYMtRKnBLEI/AAAAAAAAex4/pQN-jL3F2R8/s640/INDIA%2B357.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa licha ya biashara kati ya Tanzania na India kuongezeka katika miaka ya hivi karibuni, bado kuna nafasi ya kufanya vizuri zaidi endapo fursa zilizopo zitatumiwa ipasavyo.
Rais Kikwete alisema hayo alipokuwa anaongea na Watendaji Wakuu wa Makampuni Makubwa ya India jijini Delhi leo tarehe 18 Juni 2015.
Rais Kikwete yupo nchini India kwa ziara ya Kitaifa ya siku nne iliyoanzia Siku ya Jumanne tarehe 17 Juni, 2015. Alisema kuwa lengo...