Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARSENAL FC YATEMBELEA PSPF KWA LENGO LA KUSAKA FURSA ZA MAHUSIANO YA KIBIASHARA.

 Mkurugenzi wa Mahusiano ya kimaendeleo wa Klabu ya Arsenal Bw. Sam Stone (Kulia) akimkabidhi jezi ya timu hiyo Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu. Kushoto ni Bw. Daniel Willey, Meneja wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya Arsenal. Maafisa hao wapo nchini kwa lengo la kukutana na wadau mbalimbali ili kufungua mahusiano ya kibiashara, katika mpango huo makocha wa timu hiyo na baadhi ya nyota waliowahi kuchezea timu hiyo watapata fursa kutembelea Tanzania. Klabu ya Arsenal...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ARSENAL FC YATEMBELEA PSPF KWA LENGO LA KUSAKA FURSA ZA MAHUSIANO YA KIBIASHARA

Mkurugenzi wa Mahusiano ya kimaendeleo wa Klabu ya Arsenal Bw. Sam Stone (Kulia) akimkabidhi jezi ya timu hiyo Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu. Kushoto ni Bw. Daniel Willey, Meneja wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya Arsenal. Maafisa hao wapo nchini kwa lengo la kukutana na wadau mbalimbali ili kufungua mahusiano ya kibiashara, katika mpango huo makocha wa timu hiyo na baadhi ya nyota waliowahi kuchezea timu hiyo watapata fursa kutembelea Tanzania. Klabu ya Arsenal...

 

10 years ago

Michuzi

WATAALAM WA BIASHARA NA VIWANDA TANZANIA KUTEMBELEA CHINA KUSAKA FURSA ZA KIBIASHARA ZAIDI.

TIMU ya wataalam wa biashara kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara na wafanyabiashara wengine wa nchini Tanzania wanatarajiwa kutembelea China baadaye Julai mwaka huu, ikiwa ni katika jitihada za kutafuta fursa za ki biashara ambazo zinaweza kutumika kuleta maendeleo nchini.
Hatua hiyo inakuja miezi michache baada ya ziara ya Rais Jakaya Kikwete nchini ambapo serikali ya China ilikubali kusaidia Tanzania katika maendeleo na uendeshaji wa Viwanda nchini.
Akizungumza wakati wa sherehe ya...

 

10 years ago

GPL

BALOZI WA PSPF FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI JIJINI MWANZA

  Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza…

 

10 years ago

Michuzi

Mfuko wa Pensheni wa PPF watembelewa na uongozi wa club ya Arsenal kwa lengo la kujitangaza

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF ndugu William Erio (katikati) akipokea jezi ya timu ya Arsenal kutoka kwa Mkurugenzi wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya Arsenal Bwana Sam Stone (kulia). Kushoto ni Meneja wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya Arsenal Bwana Daniel Willey.Lengo la ziara hiyo ni kuanzisha mahusiano kati ya PPF na Club ya Arsernal kwa kuendelea kujenga imani kwa wateja wao na kuendelea kujitangaza. Uongozi wa club ya Arsenal ukipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Huduma za mazishi na fursa za kibiashara

“Karibu sana mama. Hapa kwetu tunatoa huduma za faraja.”Ni kauli ya ukaribisho niliyoisikia mara baada ya kuingia kwenye duka la majeneza linalomilikiwa na kampuni ya Corona ambayo ni maarufu kwa huduma za mazishi.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA PSPF, NA KUFURAHISHWA NA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA

Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, akimpatia mfuko wenye taarifa na machapisho ya shughuli na huduma mbalimbali za Mfuko huo, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya, Lediana Mng'ong'o, wakati kamati yake ilipotembelea makao makuu ya Mfuko huo jijini Dar es Salaam, leo Ijumaa Machi 13, 2015. Katika taarifa yao, kamati imeridhishwa na mafanikio ambayo Mfuko huo imeyapata tangu kuasisiwa kwakeMwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. George...

 

10 years ago

Michuzi

ORIGINAL KOMEDI WAZURU PSPF, LENGO NI KUJIONEA UBORA WA HUDUMA ZA MFUKO HUO

Wasanii wanaounda kundi la Original Komedi wakipata maelezo kutoka kwa Bw. Lonick Nkinda, Afisa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF juu ya huduma zinazotolewa na Mfuko huo, wasanii hao walitembelea Makao Makuu ya PSPF ili kujionea utendaji wa Mfuko huo. Msanii wa kikundi cha Original Komedi Bw. Emmanuel Mgaya akijaribu kufungua moja ya mitambo inayotumika kuhifadhia kumbukumbu za wanachama wa PSPF ili kuona ubora wa huduma za Mfuko huo. Wasanii wa kundi la Original Komedi wakiwa katika picha ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Namna ya kutumia fursa za mikutano kutengeneza mitandao ya kibiashara

Ulishawahi kwenda kwenye semina, warsha au mikutano ya wafanyabiashara? Kwenye matukio kama hayo kuna nyakati zinatokea za mapumziko au muda kabla ya kuanza. Wewe kama mfanyabiashara unapaswa kutumia kikamilifu fursa hizi ili kutanua mtandao wa biashara yako. Hii ni nafasi, hupaswi kuipoteza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani