Mfuko wa Pensheni wa PPF watembelewa na uongozi wa club ya Arsenal kwa lengo la kujitangaza
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF ndugu William Erio (katikati) akipokea jezi ya timu ya Arsenal kutoka kwa Mkurugenzi wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya Arsenal Bwana Sam Stone (kulia). Kushoto ni Meneja wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya Arsenal Bwana Daniel Willey.Lengo la ziara hiyo ni kuanzisha mahusiano kati ya PPF na Club ya Arsernal kwa kuendelea kujenga imani kwa wateja wao na kuendelea kujitangaza. Uongozi wa club ya Arsenal ukipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF atembelea banda la PPF kujionea utendaji kazi wa PPF katika maonyesho ya Sabasaba
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa Mfuko huo wakati alipotembelea Banda laa PPF kujionea utendaji kazi wa Wafanyakazi wake katika maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Mwl Nyerere.
Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akiteta jambo na wafanyakazi wa PPF wakati alipotembelea Banda la PPF kujionea utendaji kazi wa Wafanyakazi wake. Kulia ni...
11 years ago
GPLMKURUGENZI MKUU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF, MH WILLIAM ERIO ATEMBELEA BANDA LA PPF KUJIONEA UTENDAJI KAZI WA PPF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
11 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA YAIWAGIA SIFA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KWA HUDUMA NZURI ZINAZOTOLEWA NA MFUKO HUO
11 years ago
GPLMWENYEKITI WA BODI YA MFUKO WA PENSHENI WA PPF, MH. RAMADHAN KIJJAH AVUTIWA NA UTENDAJI KAZI WA PPF
9 years ago
VijimamboJK AUMWAGIA SIFA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KWA UWEKEZAJI BORA
RAIS Jakaya Kikwete, akitoa hotuba kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi la kitegauchumi PPF Plaza eneo la Vigaeni, mjini Mtwara, Oktoba 10, 2015. Jengo hilo la ghorofa mali ya PPF litagharimu shilingi Bilioni 9.5 ujenzi wake utakapokamilika mwishoni mwa mwaka huu. NA K-VIS MEDIA, MTWARA RAIS Jakaya Kikwete ameumwagia sifa kemkem Mfuko wa Pensehni wa PPF, kwa uwekezaji bora, wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jingo la ghrorofatano la kitegauchumi la PPF Plaza mjini Mtwara Oktoba...
10 years ago
MichuziMFUKO WA PENSHENI WA PPF WAIBUKA MSHINDI WA JUMLA KWA MAHESABU BORA NCHINI KWA ZAIDI YA MAKAMPUNI
Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (watatu kushoto mstari wa mbele) akimkabidhi tuzo ya Mahesabu Safi kwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bw. Hosea Kashimba baada ya PPF kuwa mshindi wa jumla katika sherehe zilizoandaliwa na Bodi ya Taifa ya ukaguzi wa Hesabu nchini (NBAA) zilizofanyika jijini Arusha. Wengine pichani ni Mwenyekiti wa bodi ya NBAA, Profesa Isaya Jairo (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibuiti Mifuko ya Jamii, Irene Isaka (wapili kushoto),...
10 years ago
VijimamboMFUKO WA PENSHENI WA PPF WAIBUKA MSHINDI WA JUMLA
ni Mwenyekiti wa bodi ya NBAA, Profesa Isaya Jairo (kushoto), MkurugenziMkuu wa Mamlaka ya Udhibuiti Mifuko ya Jamii, Irene Isaka (wapili kushoto),...
9 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziSHEREHE YA MWAKA YA MFUKO WA PENSHENI WA PPF YAFANA JIJINI DAR