Watanzania washauriwa kutumia mfumo wa KAIZEN kuleta tija
![](http://4.bp.blogspot.com/-7xv7bxSe4jI/VCvhCKk38PI/AAAAAAAGm-k/N5U-OqyJ9HA/s72-c/PIX%2B9.JPGG.jpg)
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Florens Turuka (wa pili kulia) akifurahia jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA, Prof. Samuel Wangwe (kulia) wakati wa mkutano wa Taasisi ya Maafisa Wakuu Watendaji (CEOs Round Table) katika semina kuhusu umuhimu wa kutumia utaratibu huo wa KAIZEN kuchochea maendeleo Jumanne jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Katibu Mkuu, Wizara ya Biashara na Viwanda, Bw. Uledi Musa na Muwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Japan (JICA) Tanzania, Bw. Yasunori...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
‘Watanzania tumieni mfumo wa KAIZEN kuleta tija’
WATANZANIA wameshauriwa kujifunza na kuutumia mfumo wa KAIZEN ambao unalenga kuongeza tija katika utendaji kazi, kuleta ufanisi wa uzalishaji na ubora, ili kuchochea maendeleo nchini. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s72-c/MISA%2B3.jpg)
WATANZANIA WASHAURIWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA FAIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B3.jpg)
Muongozaji wa majadiliano Bw. Michael Gwimile akifafanua jambo wakati wa mkutano wa majadiliano uliowashirikisha wadau mbalimbali wa Habari ulioandaliwa na MISA-Tan na kufanyika hivi karibuni Jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ghm6G37z5M/Xs5dCXDDKRI/AAAAAAAAH8U/rqiyZRJDYYApjpwAKRsaD1lJWVIzudxawCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-P-WIdrfvkgY/Xs5dDBhbCBI/AAAAAAAAH8c/SO2djtsPsywdEWM-Wpaf06L0l3cr-FG1wCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B5.jpg)
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Usajili wa wachezaji uwe wenye kuleta tija
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Jitihada zahitajika korosho kuleta tija kwa mkulima
“UZALISHAJI mkubwa wa korosho tunautegemea kutoka katika mkoa wetu wa Mtwara, hasa pale pembejeo zinapokuja kwa wakati kama hivi.” Hivyo ndivyo anavyoanza kuzungumza mkulima wa korosho katika Kijiji cha Maundo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBFbhAzGgg0/Xkv-ssOToQI/AAAAAAALeEg/QhZOYbv2I5YtnVod0ew3yUQiYXJxLEYJgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200218_152305_8.jpg)
KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD chaibuka kidedea kwenye shindano la KAIZEN, kuwakilisha katika shindano la KAIZEN Afrika
Akizungumza wakati wa kuwapa tuzo za ushindi wa kiwanda bora za KAIZEN jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda na Biashara, Riziki Shemdoe amesema kuwa kiwanda kilichoshinda kitatuwakilisha katika mashindano ya KAIZEN kwa nchi za Afrika zitakazofanyika Mwakani 2020 nchini Afrika Kusini.
"Sisis kama Sherlys...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o3RCa1NBb3k/VV8W5hnrGWI/AAAAAAAHZAA/g_QnzTDGwI0/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Wafanyabiashara Washauriwa Kutumia Mashine za EFD
Kampuni ya COMPULYNX Tanzania inayoshughulika na usambazaji wa mashine za Electronic Fiscal Device (EFD) imewashauri wafanya biashara nchini kutumia mashine hizo ipasavyo kwani husaidia kukuza pato la Taifa.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Bw Sailesh Savani wakati akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
“Wafanyabiashara wasiwe waoga kutumia mashine za EFD kwani huleta uhalali wa pande zote mbili ikiwemo Serikali...
9 years ago
Habarileo08 Dec
Wahitimu Mzumbe washauriwa kutumia elimu kuboresha chuo
WAHITIMU Chuo Kikuu Mzumbe wameshauriwa kutumia elimu waliyoipata katika kuchochea maendeleo ya chuo hicho na ya taifa kwa ujumla. Rais wa Masajili ya chuo hicho, (Mzumbe University Convocation), Ludovick Utouh ambaye pia ni Mkaguzi Mkuu mstaafu wa Hesabu za Serikali, alitoa mwito huo katika mkutano wa masajili ya 15 ya chuo mjini Morogoro mwishoni mwa wiki.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dw9b8yfutwA/VMvLINK5DMI/AAAAAAACzBY/Ml5owwbecxY/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela washauriwa kutumia ujuzi kujiajiri
![](http://3.bp.blogspot.com/-dw9b8yfutwA/VMvLINK5DMI/AAAAAAACzBY/Ml5owwbecxY/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q22i8M3OukI/VMvLITRvnsI/AAAAAAACzBc/OePNChMdL4w/s1600/Pix%2B2.jpg)