Watanzania washauriwa kusoma, kuandika vitabu
WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kusoma vitabu ili kupata maarifa ya kuwasaidia katika kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo. Wito huo ulitolewa na mwandishi wa vitabu, Evodius Katare, ambaye pia ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Watanzania washauriwa kujenga utamaduni wa kusoma, kuandika vitabu
![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s1600/unnamed+(23).jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watanzania milioni 14 hawajui kusoma, kuandika?
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Ripoti:Wasiojua kusoma na kuandika waongezeka
10 years ago
Habarileo16 Apr
Wasiojua kusoma,kuandika kutoenda darasa la tatu.
KATIKA kuhakikisha inaondoa kabisa tatizo la watu wasiojua kusoma na kuandika nchini, Serikali imefanya mabadiliko ambapo kuanzia sasa mtoto wa darasa la pili hawezi kuruhusiwa kuingia darasa la tatu kama hajui kusoma, kuandika na kuhesabu ili kuondoa tatizo la watoto wanaomaliza shule ya msingi wakiwa hawajui kusoma.
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Watoto wengi hawajui kusoma kuandika — Utafiti
ASILIMIA 61 ya watoto walio na umri wa chini ya miaka tisa hawawezi kusoma Kiswahili, Kiingereza na kufanya hesabu za kuzidisha huku wanafunzi wa shule binafsi wakionekana kufanya vizuri katika...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Wanafunzi 430 hawajui kusoma wala kuandika
10 years ago
Habarileo13 Jan
Watumishi washauriwa kusoma sheria za kazi
WATUMISHI wa idara, taasisi, mashirika mbalimbali ya serikali na binafsi wameshauriwa kujenga utamaduni wa kupenda kusoma na kupitia sheria na kanuni za kazi kabla ya kudai haki zao.
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Wahitimu 344 darasa la saba hawajui kusoma wala kuandika
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Umewahi kusoma vitabu na watoto wako?
KUANZIA Novemba 24 hadi 29 mwaka huu, baadhi yetu ambao tunaamini katika kuwapa nafasi watoto wetu ya kujiandaa na kujijenga kiakili na kifikra kabla ya kuanza shule na wakati wa...