UDHIBITI WA SUMUKUVU UNAHITAJI WADAU KUSHIRIKIANA- KUSAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UihmiPvJXHw/XvDBbi9U4jI/AAAAAAALu94/u7ClI4TaE4Ik38v_htZPXjY7oUl10fmZgCLcBGAsYHQ/s72-c/KM-KUSAYA-1-1-768x588.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiongoza kikao cha Kamati ya Usimamizi wa Mradi wa Udhibi,ti wa Sumukuvu kilichoshirikisha wizara za Kilimo,Mifugo,Viwanda,Tamisemi toka Tanzania Bara na Zanzibar leo mjni Morogoro.
Sehemu ya wajumbe wa kikao cha Kamati ya Kusimamia Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu nchini kilichoanyika leo mkoani Morogoro.
Wataalam toka wizara na taasisi zinazohusika na udhibiti wa Sumukuvu nchini wakiwa kwenye kikao cha kamati ya usimamizi wa mradi wa kudhibiti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Wadau wa habari wakubaliana kushirikiana
9 years ago
StarTV06 Oct
Watafiti, wadau washauriwa kushirikiana utungaji wa sera
Watafiti nchini wamewashauri kushirikiana na watunga sera na wadau wa maendeleo wa sekta mbalimbali kutambua umuhimu wa takwimu katika kutoa uamuzi na kutunga sheria zitakazolingana na takwimu husika.
Tanzania imeonekana kuwa na tatizo la kutotumia takwimu katika baadhi ya maeneo, hali inayosababisha kuwepo kwa upungufu katika huduma za kijamii, hasa sekta ya elimu na Afya.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti na Sera (REPOA), Prof Samweli Wangwe, amesema kinachosababisha changamoto katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Az1Kj4V3yiA/Xkp8velAEMI/AAAAAAAAIGw/7C2SmrLAq3cZfdRseF8xYRvH3k8KWw_lwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0095.jpg)
WADAU WA MAENDELEO WAGUSWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTOKOMEZA MIMBA ZA MASHULENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Az1Kj4V3yiA/Xkp8velAEMI/AAAAAAAAIGw/7C2SmrLAq3cZfdRseF8xYRvH3k8KWw_lwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200216-WA0095.jpg)
Na Ahmed Mahmoud ArushaONGEZEKO la idadi ya wanafunzi wanaokatishwa masomo kwa kupewa mimba limeibua hofu kwa wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi, ambao baadhi yao wameshindwa kuvumilia na kuamua kuungana na serikali kusaidia kukabiliana na tatizo hilo La Mimba kwa wanafunzi wakike.
Na Miongoni wa wadau hao kutoka nje ya nchi ni pamoja na wahisani Kutoka Nchi ya Korea ambao wamejitolea kusaidia nakwa Upande wa ...
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
Wadau wa sekta ya Bima nchini waaswa kushirikiana na TRA kutekeleza sheria mpya ya kodi
Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lusekelo Mwaseba akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua semina ya wadau wa bima kuhusu sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ambayo imeanza kutumika Julai Mosi mwaka huu.(Picha na Eleuteri Mangi- MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wadau wa sekta ya Bima nchini wameaswa kushirikiana na Serikali kutekeleza sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ili waweze kutoa huduma kwa jamii yenye tija kwa wakati na kulipa kodi stahiki.
Kauli...
5 years ago
MichuziELIMU NI MUHIMU KUDHIBITI SUMUKUVU NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-X0FM4qjt8QA/Xujh3ZHLAwI/AAAAAAALuH8/LpIcFPGgIJky256fHKJKAe-QQghWyFWmACLcBGAsYHQ/s640/DSC_3405.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.
Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...
9 years ago
Michuzi21 Dec
SERIKALI WILAYANI CHUNYA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WAJIPANGA KUTATUA KERO ZA MAJI WILAYANI HUMO
Na Ezekiel Kamanga ,Mbeya,Jamiimojablog SERIKALI wilayani Chunya Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wameendelea na jitihada mbalimbali katika...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA KWA KUSHIRIKIANA NA (TAHA) AONGOZA WADAU WA HORTICULTURE MAPOKEZI YA NDEGE YA MIZIGO UWANJA WA NDEGE WA KILIMANJARO