WADAU WA MAENDELEO WAGUSWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTOKOMEZA MIMBA ZA MASHULENI
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo
Na Ahmed Mahmoud ArushaONGEZEKO la idadi ya wanafunzi wanaokatishwa masomo kwa kupewa mimba limeibua hofu kwa wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi, ambao baadhi yao wameshindwa kuvumilia na kuamua kuungana na serikali kusaidia kukabiliana na tatizo hilo La Mimba kwa wanafunzi wakike.
Na Miongoni wa wadau hao kutoka nje ya nchi ni pamoja na wahisani Kutoka Nchi ya Korea ambao wamejitolea kusaidia nakwa Upande wa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Wadau waguswa uteuzi wa makatibu wakuu
11 years ago
Dewji Blog27 May
MO ataka madhebebu dini kushirikiana na serikali ili kuleta maendeleo endelevu
Mbunge wa jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na waumini wa Msikiti wa kijiji cha Mtamaa wakati wa ziara yake ya siku tatu jimbo kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MBUNGE wa Jimbo la Singida mjini, Mohammed Gulam Dewji amewahimiza waumini wa madhahebu mbalimbali ya dini kuendelea kushirikiana na serikali ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo endelevu.
Mbunge Dewji maarufu kwa jina la MO,ametoa wito huo hivi karibuni kwa nyakati tofauti wakati akikagua ujenzi wa...
11 years ago
GPLMO ATAKA MADHEBEBU YA DINI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI ILI KULETA MAENDELEO ENDELEVU
9 years ago
VijimamboVODACOM YAJIPANGA KUZUIA MIMBA MASHULENI
Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Mawasiliano ya...
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Mimba mashuleni zaathiri wasichana DRC
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
VIDEO: Mhe.Saada Mkuya awataka wananchi kushirikiana na serikali katika kuchangia maendeleo ya nchi kupitia ulipaji wa kodi
Waziri wa Fedha Mhe.Saada Mkuya akizungumza leo Bungeni mjini Dodoma.
9 years ago
Michuzi21 Dec
SERIKALI WILAYANI CHUNYA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WAJIPANGA KUTATUA KERO ZA MAJI WILAYANI HUMO
Na Ezekiel Kamanga ,Mbeya,Jamiimojablog SERIKALI wilayani Chunya Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wameendelea na jitihada mbalimbali katika...
10 years ago
MichuziWizara ya Maendeleo ya Jamii yaendesha mkutano na wadau kutoka Taasisi za Serikali na Binafsi
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10