IMF KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUIMARISHA SERA ZA KIUCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bjp8hTEsL8E/XkbKmcgEGvI/AAAAAAALda8/1r2BC4ghHKIG4GG4fOtm3Zwy-_KaBGTJgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-27-2048x1365.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kulia) akipeana mkono na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) nchini Tanzania, Bw. Jens Reinke, aliefika Ofisi za Wizara ya Fedha na Mipango Jijini Dodoma kujitambulisha.
Mtakwimu Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBC), Dkt. Albina Chuwa (kulia) akieleza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
IMF:Tishio la kuzorota kiuchumi lapanda
10 years ago
Mwananchi21 Oct
IMF: Tanzania iboreshe sera za kukuza uchumi
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Tanzania, Afrika Kusini kushirikiana kiuchumi
NCHI za Tanzania na Afrika Kusini zimedhamiria kuimarisha mahusiano ya kibiashara na uwekezaji kwa faida ya wananchi wa pande zote mbili. Juhudi za karibuni kuimarisha mahusiano hayo zilishuhudiwa wiki hii...
9 years ago
StarTV06 Oct
Watafiti, wadau washauriwa kushirikiana utungaji wa sera
Watafiti nchini wamewashauri kushirikiana na watunga sera na wadau wa maendeleo wa sekta mbalimbali kutambua umuhimu wa takwimu katika kutoa uamuzi na kutunga sheria zitakazolingana na takwimu husika.
Tanzania imeonekana kuwa na tatizo la kutotumia takwimu katika baadhi ya maeneo, hali inayosababisha kuwepo kwa upungufu katika huduma za kijamii, hasa sekta ya elimu na Afya.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti na Sera (REPOA), Prof Samweli Wangwe, amesema kinachosababisha changamoto katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HGCwp8oEI2I/U_dcYB3WcBI/AAAAAAAGBcY/AEgwP_4naWo/s72-c/4.jpg)
ALBINO WATAKIWA KUSHIRIKIANA KWA KARIBU NA JESHI LA POLISI ILI KUIMARISHA USALAMA WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HGCwp8oEI2I/U_dcYB3WcBI/AAAAAAAGBcY/AEgwP_4naWo/s1600/4.jpg)
Pamoja na kwamba haijawahi kutoa tukio lolote dhidi ya Albino jijini Dar es Salaam kutokana na uhusiano uliopo lakini kwa sasa waongeze mawasiliano na Jeshi la Polisi kutokana na taarifa za uhalifu dhidi ya Albino...
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Wizara ya Fedha, IMF na WB wazungumzia sera fedha
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile ambaye ni kiongozi wa ujumbe kutoka Tanzania na anawakilisha kama Gavana Mbadala (Alternate Governor) pamoja na Gavana wa Benki Kuu Prof. Benno Ndulu ambaye pia ni Gavana katika mikutano hii.Katika picha viongozi hao wakiwa wanafanya majumuisho ya majadiliano ya awali na kukubaliana cha kufanya kwa pamoja na viongozi kutoka IMF na WB kuhusiana na hali ya uchumi kwa maana ya sera za fedha na sera za mapato...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IwBQk1F2mdI/Xl0AawbyOCI/AAAAAAACz3g/Axsc18AWnvguJkVASlgTXpK3Pec8yjSZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NCHI WANACHAMA WA SADC KUIMARISHA SERA NA KUJENGA MIKAKATI YA PAMOJA YA KUKUZA AJIRA KWA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IwBQk1F2mdI/Xl0AawbyOCI/AAAAAAACz3g/Axsc18AWnvguJkVASlgTXpK3Pec8yjSZwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akifungua Mkutano wa Makatibu Wakuu, Maafisa Waandamizi na Wadau wa Utatu wa Jumuiya hiyo wanaosimamia Sekta ya Kazi na Ajira hii leo Machi 2, 2020 Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Bw. Andrew Massawe alisema kuwa Mkutano huo umewakutanisha...