Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IMF: Tanzania iboreshe sera za kukuza uchumi

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limesema uchumi wa nchi zilizopo chini ya jangwa la sahara unazidi kuimarika kwa zaidi ya asilimia tano, huku likiitaka Tanzania kuboresha sera za kukuza uchumi kupitia miradi ya maendeleo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

IMF yavutiwa na uchumi wa Tanzania

SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF) limesema kuwa limevutiwa na kukua kwa uchumi wa Tanzania. Limesema uchumi wa Tanzania unakua kwa asilimia 7 na utaendelea kukua kwa kiwango hicho katika miezi iliyobakia mwaka huu hadi mwakani.

 

5 years ago

Michuzi

IMF yaridhishwa mwenendo wa ukuaji wa Uchumi nchini Tanzania




Na Ripota Wetu-Michuzi Blog Jitihada za makusudi za Serikali ya Awamu ya Tano katika kusimamia na kutekeleza sera madhubuti za fedha na uchumi hasa katika kusimamia ukusanyaji wa mapato na matumizi, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima, pamoja na usimamizi wa Benki, zimeelezwa kuwa ni miongoni mwa vitu vilivyoifanya Tanzania kukua kiuchumi na kunakoisaidia kue ndelea na ukuaji wa kasi katika siku zijazo.

Kwa mujibu wa ripoti ndogo iliyotolewa Jijini Dar es Salaam na wataalam wa Shirika la...

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania, Ujerumani kukuza uchumi

Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck (kushoto) na mwenyeji wake, Rais Jakaya Kikwete wakiwasalimia watoto na wananchi baada ya kuwasili Ikulu, Dar es Salaam jana kwa ziara ya siku tano. (Na Mpigapicha Wetu).RAIS Jakaya Kikwete na mgeni wake, Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck wamekubaliana katika kukuza ushirikiano wa kiuchumi, huku Rais Kikwete akiitaka Serikali ya Ujerumani kuenedelea kuisaidia Tanzania katika kukuza uchumi kwa kutoa misaada ya maendeleo na kuwekeza zaidi.

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania, Iran zasaini mikataba kukuza uchumi

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.WIZARA ya Mambo ya Nje Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran wamesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi.

 

9 years ago

StarTV

Norway na Tanzania wajadili uwekezaji wa pamoja kukuza uchumi

Katika hali ya kuhakikisha uchumi wa nchi unakuwa  Serikali za Norway na Tanzania zimekutana kujadili fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya gesi na mafuta ili kuwezesha nchi hizo kujiimarisha kiuchumi pamoja na kuimarisha uhusiano miongoni mwa mataifa hayo.

Ujumbe kutoka Norway ukiongozwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Monica Maeland umesema uhusiano uliopo baina ya nchi hizo mbili ni njia pekee ya kufungua mtandao mpana wa biashara katika kujiimarisha kiuchumi.

 

Katika mkutano...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jovago Tanzania; Simu za kisasa zitumike katika kukuza uchumi wa nchi

Untitled

Matumizi ya simu za kisasa (smartphones) yameonyesha kuongezeka kwa kasi ambapo zaidi ya Terabyte 76,000 hutumika kwa mwezi mmoja, hii imekuwa ni mara mbili ya takwimu zilizofanyika mwaka 2013 ambapo kulikuwa na matumizi ya TB 37,500 kwa mwezi mmoja katika nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara. (Ripoti ya Subsaharan Africa Ericsson Mobility, 2014).

Kwa upande mwingine , soko la simu za kisasa pia linakua kwa kasi, ambapo inaonyesha kuwa kutakuwa na ongezeko la mara mbili ya manunuzi ya simu...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA FEDHA DUNIANI (IMF) LATOA RIPOTI NDOGO YA UKUAJI WA UCHUMI NCHINI TANZANIA,BENKI KUU YATOA UFAFANUZI

SHIRIKA la Fedha duniani (IMF) limetoa taarifa ya mwenendo wa ukuaji wa uchumi kwa Tanzania na kwa mujibu wa taarifa hiyo IMF imeelzwa kufurahishwa na ukuaji wa uchumi, kupungua kwa mfumuko wa bei, kutengeneza ajira pamoja na  kuongezeka kwa uwekezaji unaofanywa na Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi katika sekta za elimu na afya.

Taarifa hiyo iliyotolewa Machi 05 mwaka huu imeeleza, timu ya  IMF wakiongozwa na Enrique Gelbard walitembelea Tanzania kuanzia Februari 20 hadi Machi 04...

 

10 years ago

Vijimambo

JK aziponda sera za uchumi za Nyerere, adai zimechangia umasikini wa Tanzania (na maoni yangu)

Rais Jakaya Kikwete amezilaumu sera za uchumi za Tanzania baada ya nchi yetu kupata uhuru akidai zimepelekea hali duni ya kiuchumi.Alieleza kuwa sera hizo ni moja ya sababu zinazoifanya Tanzania kuwa katika kundi la Nchi Masikini Zaidi Duniani (The Least Developed Countries - LCD) tangu utaratibu huo wa kuzigawanya nchi kutokana na viwango vyake vya kiuchumi na maendeleo uanze miaka ya 70.Akihutubia Alhamisi iliyopita jijini Washington DC, nchini Marekani katika Kongamano la Shirika la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na Uchumi Supermarkets Tanzania Limited (USL) zatiliana saini kukuza biashara

1(16)

Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa NHC, David Shambwe akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini hati ya makubaliano kati ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na Uchumi Supermarkets Tanzania Limited (USL), leo mchana, makubaliano hayo yataziwezesha pande hizo mbili kushirikiana kibiashara ambapo USL itapewa kipaumbele kwenye kupanga katika miradi ya ujenzi ya majengo ya Shirika la Nyumba la Taifa popote nchini.

2

Meneja Mkuu wa Uchumi Supermarkets Tanzania, Chriss Lenana akifafanua Jambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani