Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aziponda sera za uchumi za Nyerere, adai zimechangia umasikini wa Tanzania (na maoni yangu)

Rais Jakaya Kikwete amezilaumu sera za uchumi za Tanzania baada ya nchi yetu kupata uhuru akidai zimepelekea hali duni ya kiuchumi.Alieleza kuwa sera hizo ni moja ya sababu zinazoifanya Tanzania kuwa katika kundi la Nchi Masikini Zaidi Duniani (The Least Developed Countries - LCD) tangu utaratibu huo wa kuzigawanya nchi kutokana na viwango vyake vya kiuchumi na maendeleo uanze miaka ya 70.Akihutubia Alhamisi iliyopita jijini Washington DC, nchini Marekani katika Kongamano la Shirika la...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

IMF: Tanzania iboreshe sera za kukuza uchumi

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limesema uchumi wa nchi zilizopo chini ya jangwa la sahara unazidi kuimarika kwa zaidi ya asilimia tano, huku likiitaka Tanzania kuboresha sera za kukuza uchumi kupitia miradi ya maendeleo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sera mpya ya elimu yazua maoni Tanzania

Sera mpya ya elimu nchini Tanzania iliyozinduliwa inazidi kuzua maoni mchanganyiko

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AZINDUA SERA YA MTANDAO WA VIKUNDI VYA MAADILI NA UCHUMI TANZANIA (MVIMAUTA)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akinyanyua juu kitabu baada ya kuzindua Sera ya Mtandao wa Vikundi vya Maadili na Uchumi Tanzania (MVIMAUTA) akiwa na mwasisi wake Askofu Mkuu Sylvester Gamanywa, Mwangalizi Mkuu wa Kitaifa, wa WAPO Mission International na Mwasisi wa Maono ya Harakati za Maadili kwa Kizazi Kipya katika ukumbi wa BCIC Mbezi Beach jijini Dar es salaam Jumamosi, Februari 15, 2014. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na...

 

10 years ago

Habarileo

Sera madhubuti kuiondoa nchi katika umasikini

SERIKALI imetakiwa kutunga sera madhubuti za matumizi ya rasilimali ili kuondokana na tatizo la umasikini kwa lengo la kuinua uchumi wa nchi ili kufikia maendeleo ya milenia kama ilivyopangwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu-Lowassa

Mgombea urais wa Chadema kwa mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa  amesema akiwa rais wa Awamu ya Tano atafuta maadui watatu ambao ni ujinga, maradhi na umasikini waliodumu tangu nchi ipate uhuru mwaka 1961.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu — Lowassa

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye wakiwapungia wananchi wa mjini Ngombe walipokuwa wakiwasili katika Uwanja wa National Housing mjini humo ulipofanyika mkutano wa kampeni za mgombea huyo jana. […]

The post Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu – Lowassa appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Habarileo

TPSF yataka kauli sera kuboresha uchumi

IMEELEZWA kuwa mchango mkubwa wa kisera katika uchumi unaofanywa na sekta binafsi unastahili kukuzwa kwa manufaa ya sekta na taifa kwa ujumla.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina yafaa kueleza sera zake za uchumi

Katika mkutano wa G20 Uchina yaambiwa iwe wazi kuhusu sera zake za uchumi ili kuzuwia misukosuko katika masoko ya fedha dunaini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani