JK aziponda sera za uchumi za Nyerere, adai zimechangia umasikini wa Tanzania (na maoni yangu)
Rais Jakaya Kikwete amezilaumu sera za uchumi za Tanzania baada ya nchi yetu kupata uhuru akidai zimepelekea hali duni ya kiuchumi.Alieleza kuwa sera hizo ni moja ya sababu zinazoifanya Tanzania kuwa katika kundi la Nchi Masikini Zaidi Duniani (The Least Developed Countries - LCD) tangu utaratibu huo wa kuzigawanya nchi kutokana na viwango vyake vya kiuchumi na maendeleo uanze miaka ya 70.Akihutubia Alhamisi iliyopita jijini Washington DC, nchini Marekani katika Kongamano la Shirika la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Oct
IMF: Tanzania iboreshe sera za kukuza uchumi
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Sera mpya ya elimu yazua maoni Tanzania
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AZINDUA SERA YA MTANDAO WA VIKUNDI VYA MAADILI NA UCHUMI TANZANIA (MVIMAUTA)
10 years ago
Habarileo30 Nov
Sera madhubuti kuiondoa nchi katika umasikini
SERIKALI imetakiwa kutunga sera madhubuti za matumizi ya rasilimali ili kuondokana na tatizo la umasikini kwa lengo la kuinua uchumi wa nchi ili kufikia maendeleo ya milenia kama ilivyopangwa.
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu-Lowassa
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Sep
Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu — Lowassa
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye wakiwapungia wananchi wa mjini Ngombe walipokuwa wakiwasili katika Uwanja wa National Housing mjini humo ulipofanyika mkutano wa kampeni za mgombea huyo jana. […]
The post Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu – Lowassa appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Habarileo30 Jun
TPSF yataka kauli sera kuboresha uchumi
IMEELEZWA kuwa mchango mkubwa wa kisera katika uchumi unaofanywa na sekta binafsi unastahili kukuzwa kwa manufaa ya sekta na taifa kwa ujumla.
9 years ago
BBCSwahili05 Sep
Uchina yafaa kueleza sera zake za uchumi