RAIS KIKWETE AZINDUA SERA YA MTANDAO WA VIKUNDI VYA MAADILI NA UCHUMI TANZANIA (MVIMAUTA)
![](http://api.ning.com:80/files/GrESGA1CkwjnX53PneGk64YBhpHIHfbct6XWzOtAfq1SaurGYDq1kWwKrL9crLZNuhn6xlUNyM-IZmwc-swYnUY*GeemLyGU/g12.jpg?width=650)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akinyanyua juu kitabu baada ya kuzindua Sera ya Mtandao wa Vikundi vya Maadili na Uchumi Tanzania (MVIMAUTA) akiwa na mwasisi wake Askofu Mkuu Sylvester Gamanywa, Mwangalizi Mkuu wa Kitaifa, wa WAPO Mission International na Mwasisi wa Maono ya Harakati za Maadili kwa Kizazi Kipya katika ukumbi wa BCIC Mbezi Beach jijini Dar es salaam Jumamosi, Februari 15, 2014. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_72DU5nd2I/VJMUVRteIeI/AAAAAAAG4SE/Lwi3A1Q85Mg/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI UMOJA WA VIKUNDI VYA WAMA KATIKA WILAYA YA KINONDONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_72DU5nd2I/VJMUVRteIeI/AAAAAAAG4SE/Lwi3A1Q85Mg/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z29XipiFWo0/VJMUV07zMvI/AAAAAAAG4SM/HEmfG-ub6Jg/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yIKLg8UFvK0/VJMUWYZB0bI/AAAAAAAG4SU/355m6ThAE-E/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0e-5euk5OHA/VewZa4bhrEI/AAAAAAAAyrE/-MtEJ7NT_uM/s72-c/AA8A7699.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI MAALUM YA KUITANGAZA TANZANIA NA VIVUTIO VYA UTALII KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0e-5euk5OHA/VewZa4bhrEI/AAAAAAAAyrE/-MtEJ7NT_uM/s640/AA8A7699.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wczjejfcnk0/VewZbbmU6EI/AAAAAAAAyrI/eSdS9IMBtWQ/s640/AA8A7720.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete azindua jengo la Kitega Uchumi la NSSF Moshi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CVvdAaJQp8o/VSvl_I86HEI/AAAAAAAC3GA/hvaZuVRrVWY/s72-c/jk2.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KOZI MAALUMU YA MAADILI NA UONGOZI, AMSIMIKA MZEE MSEKWA KUWA MWENYEKITI WA KIBWETA CHA MWALIMU NYERERE
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVvdAaJQp8o/VSvl_I86HEI/AAAAAAAC3GA/hvaZuVRrVWY/s1600/jk2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fkKSQBAaBZc/VSvl_FSs7CI/AAAAAAAC3Fs/tMdpOrT3p8s/s1600/jk3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GtQ0wz1E444/VSvmAFEsDvI/AAAAAAAC3F8/lqjIP1OKQWA/s1600/jk4.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9KDhEYwjuE8/VgUJF5skOJI/AAAAAAAH7Gg/usYXAz9p9eg/s72-c/IMG_1284%2B%2528800x446%2529.jpg)
DKT FENELLA MUKANGARA AKUTANA NA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI NA KUNADI SERA ZAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9KDhEYwjuE8/VgUJF5skOJI/AAAAAAAH7Gg/usYXAz9p9eg/s640/IMG_1284%2B%2528800x446%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lwn7GV-MH6A/VgUJFxKZSnI/AAAAAAAH7Gk/20jPMq3hLT0/s640/IMG_1394%2B%2528600x334%2529.jpg)
11 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Kikwete azindua mpango mkakati wa kuongeza kasi ya kupunguza Vifo vya Uzazi na vya Watoto leo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akionesha jedwali la alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni Naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kitabu Bibi Halima Shariff, mmoja wa wadau wa afya kutoka...
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Tanzania imetulia kwa sera nzuri — Rais Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amesema kuwa Tanzania imeendelea kuwa nchi tulivu, yenye umoja na yenye amani kwa sababu ya sera nzuri ambazo zilianzishwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na ambazo zimeendelezwa na viongozi wakuu ambao walimfuatia Mwalimu.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa Tanzania imefanikiwa kudumisha umoja,mshikamano na utulivu kwa sababu ya kuwa na sera zenye kujumuisha kila mmoja bila kubagua Mtanzania yoyote kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Tiifzbr0ql0/XlZ7htbe0-I/AAAAAAAA9CA/vFo-kZB5X5UCku9KAnV9A28SpAn8ghyVwCNcBGAsYHQ/s72-c/F87A2189-2-1-768x343.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AZINDUA AZINDUA MTANDAO WA VIONGOZI WAVAWAKE AFRIKATAWI LA TANAS
![](https://1.bp.blogspot.com/-Tiifzbr0ql0/XlZ7htbe0-I/AAAAAAAA9CA/vFo-kZB5X5UCku9KAnV9A28SpAn8ghyVwCNcBGAsYHQ/s640/F87A2189-2-1-768x343.jpg)
Hayo ameyasema leo jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa Mtandao wa viongozi Wanawake Afrika tawi la Tanzania amesema nchi imekuwa ya 14 katika kuzindua tawi hilo na kesho nchi ya Uganda inatarajia kuzindua hivyo itakuwa nchi ya 15.
Mhe.Samia amesema kuwa kumekuwa na...