RAIS KIKWETE AZINDUA KOZI MAALUMU YA MAADILI NA UONGOZI, AMSIMIKA MZEE MSEKWA KUWA MWENYEKITI WA KIBWETA CHA MWALIMU NYERERE
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVvdAaJQp8o/VSvl_I86HEI/AAAAAAAC3GA/hvaZuVRrVWY/s72-c/jk2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua kitabu cha Programu ya Uongozi na Maadili katika Chuo cha Kumbukumbu ya Nyerere Kigamoni jijini Dar es salaam leo. Kushoto kwake ni Waziri wa Elimu Dkt Shukuru Kawambwa na kulia kwake ni Mkuu wa Chuo hicho Profesa Shadrack Mwakalila.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsimika rasmi Mzee Pius Msekwa kuwa Mwenyekiti wa Kibweta cha Mwalimu Nyerere cha Uongozi na Maadili wakati wa uzinduzi wa Kozi Maalum ya Maadili na Uongozi katika Chuo cha Kumbukumbu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE KUZINDUA KOZI YA UONGOZI NA MAADILI YA CHUO CHA MWALIMU NYERERE.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
Rais Dk.Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kozi ya uongozi na maadili iliyoanzishwa na Chuo cha Kumbukumbu...
10 years ago
AllAfrica.Com21 May
New 'Kibweta Cha Mwalimu Nyerere' on Leadership and Ethics Training ...
IPPmedia
AllAfrica.com
(B) THE AFRICAN UNITY PROJECT - AFRICAN Unity was Mwalimu Nyerere's next urgent agenda immediately following that of African liberation, In his speech titled "Africa Must Unite" which he delivered in Accra during celebrations to mark the 40th ...
Meeting on peace, unity opensIPPmedia
all 2
10 years ago
GPLCHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE CHAIOMBA SERIKALI KUPELEKA VIONGOZI WAKE KUSOMEA MAFUNZO YA MAADILI NA UONGOZI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RARPED0HsZI/U9O83HRd4oI/AAAAAAACmRA/kO0CTnFUhho/s72-c/ndc1.jpg)
RAIS KIKWETE ATUNUKU WAHITIMU WA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI KATIKA MAHAFALI YA KOZI YA PILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RARPED0HsZI/U9O83HRd4oI/AAAAAAACmRA/kO0CTnFUhho/s1600/ndc1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GrESGA1CkwjnX53PneGk64YBhpHIHfbct6XWzOtAfq1SaurGYDq1kWwKrL9crLZNuhn6xlUNyM-IZmwc-swYnUY*GeemLyGU/g12.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA SERA YA MTANDAO WA VIKUNDI VYA MAADILI NA UCHUMI TANZANIA (MVIMAUTA)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete aifariji familia ya Nyerere kufuatia kifo cha John Nyerere
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu Makongoro Nyerere.
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Rais Kikwete aapishwa kuwa mwenyekiti EAC
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GdbpQcX6Qt4/VKaaT-4nkII/AAAAAAAG68A/0MzU6Ql5lhw/s72-c/tanzania-tanesco.jpg)
RAIS KIKWETE AMTEUA DK. MIGHANDA MANYAHI KUWA MWENYEKITI MPYA WA BODI YA TANESCO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GdbpQcX6Qt4/VKaaT-4nkII/AAAAAAAG68A/0MzU6Ql5lhw/s1600/tanzania-tanesco.jpg)
Kwa taarifa iliyotolewa leo na kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini ilisema ,kufuatia uteuzi huo,Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewateua Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TANESCO .
Wajumbe wa bodi walioteuliwa ni Kissa Vivian...