RAIS KIKWETE KUZINDUA KOZI YA UONGOZI NA MAADILI YA CHUO CHA MWALIMU NYERERE.
Mhadhiri wa Chuo Cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere,Shadrack Mwakalila akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya kozi ya uongozi na maadili ya chuo hicho ,Kushoto ni Mhadhiri Msasidizi wa Chuo Cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere,Amon Katunzi iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
Rais Dk.Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kozi ya uongozi na maadili iliyoanzishwa na Chuo cha Kumbukumbu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CVvdAaJQp8o/VSvl_I86HEI/AAAAAAAC3GA/hvaZuVRrVWY/s72-c/jk2.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KOZI MAALUMU YA MAADILI NA UONGOZI, AMSIMIKA MZEE MSEKWA KUWA MWENYEKITI WA KIBWETA CHA MWALIMU NYERERE
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVvdAaJQp8o/VSvl_I86HEI/AAAAAAAC3GA/hvaZuVRrVWY/s1600/jk2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fkKSQBAaBZc/VSvl_FSs7CI/AAAAAAAC3Fs/tMdpOrT3p8s/s1600/jk3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GtQ0wz1E444/VSvmAFEsDvI/AAAAAAAC3F8/lqjIP1OKQWA/s1600/jk4.jpg)
10 years ago
GPLCHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE CHAIOMBA SERIKALI KUPELEKA VIONGOZI WAKE KUSOMEA MAFUNZO YA MAADILI NA UONGOZI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RARPED0HsZI/U9O83HRd4oI/AAAAAAACmRA/kO0CTnFUhho/s72-c/ndc1.jpg)
RAIS KIKWETE ATUNUKU WAHITIMU WA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI KATIKA MAHAFALI YA KOZI YA PILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RARPED0HsZI/U9O83HRd4oI/AAAAAAACmRA/kO0CTnFUhho/s1600/ndc1.jpg)
10 years ago
Vijimambo09 Feb
RAIS KIKWETE AKUTANA NA UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI IKULU LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-U1vIy1Uy-H0%2FVNi35ZIfSFI%2FAAAAAAADX0s%2FZDUhc9mKz-M%2Fs1600%2Fkkkt2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-8Uj-Ti0i0ak%2FVNi38oIb2JI%2FAAAAAAADX08%2F_-Ba9duB0S0%2Fs1600%2Fkkkt3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
PICHA NA IKULU
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Chuo cha Mwalimu Nyerere charudi katika enzi zake
RAIS wa kwanza wa Tanzania, Julius Nyerere alijipambanua kwa kuchukia mafisadi na watumishi wavivu. Maisha yake yote alilisimamia hilo na alipopata wasaa alikemea.
Ndio maana katika harakati za kupatikana uhuru wa Tanganyika, alibuni wazo la kuwa na chuo kitakachowafunza viongozi maadili ya umma na namna bora ya kutoa huduma, chuo hicho kilianza na makada wa chama cha Tanganyika National Union (TANU).
Baada ya uhuru viongozi wote walipoteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali walipitia...
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Mamlaka ya elimu yatoa ufadhili wa milioni 300 kwa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K.Nyerere
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bw. Joel Laurent akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar Es Salaam kuhusu mikakati ya mamlaka hiyo katika kuboresha sekta ya elimu hapa nchini kupitia Mfuko wa Elimu. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi...
10 years ago
GPLTASWIRA KATIKA MAHAFALI YA 9 YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE JIJINI DAR
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA 10 YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM LEO.
KWA...
10 years ago
MichuziTASWIRA KATIKA MAHAFALI YA TISA YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE DAR ES SALAAM