Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’

Lugha ya Kiswahili ni tunu iliyositirika kwetu, haina budi kuenziwa. Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ni mfano mzuri na wa kuigwa katika kukienzi Kiswahili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mzee Mwinyi ahutubia wadau wa Kiswahili Washington DC

Ifuatayo ni hotuba ya Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Ali Hassan Mwinyi alipohutubia mkutano wa nne wa Chama cha Ukuzaji Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) uliofanyika tarehe 23 Aprili 2015 katika Chuo Kikuu Cha Howard jijini Washington DC
KARIBU


 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AZINDUA KOZI MAALUMU YA MAADILI NA UONGOZI, AMSIMIKA MZEE MSEKWA KUWA MWENYEKITI WA KIBWETA CHA MWALIMU NYERERE


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua kitabu cha Programu ya Uongozi na Maadili  katika Chuo cha Kumbukumbu ya Nyerere Kigamoni jijini Dar es salaam leo. Kushoto kwake  ni Waziri wa Elimu Dkt Shukuru Kawambwa na kulia kwake ni Mkuu wa Chuo hicho Profesa Shadrack Mwakalila.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsimika rasmi Mzee Pius Msekwa kuwa Mwenyekiti wa Kibweta cha Mwalimu Nyerere cha Uongozi na  Maadili wakati wa uzinduzi wa Kozi Maalum ya Maadili na Uongozi katika Chuo cha Kumbukumbu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER

Image result for atc metro DMVJUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA WATOTO WOTE KUSHIRIKI SIKU YA WHITE OAK CENTER ; SAA 5:00 ASUBUHU HADI SAA 8:00 MCHANA1700 April Lane, Silver Spring
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE  MINGINE .

KIINGILIO  BUREEEEE        











 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo

Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.

 

10 years ago

Vijimambo

VIJIMAMBO NA DARASA LAKE LA KISWAHILI

SCanner -MdakiSlot- UpenyuComputer Virus- MtaligaComputer Processor- KichakatoMonitor- MuwaziLaptop-Kipakalishi

Tutaendelea wiki ijayo

 

10 years ago

Vijimambo

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI DARASA LA KISWAHILI DMV



UONGOZI WA JUMUIYA YA  WATANZANIA DMV UNAWATAARIFU 
KUHUSU UFUNGUZI RASMI WA MADARASA YA LUGHA YA KISWAHILI

Uandikishaji wa shule ya kujifunza lugha ya kiswahili utaanza rasmi tarehe 1/12/2014
Kutakuwa na madarasa mawili kila Jumamosi kuanzia tarehe 10/1/2015 saa 9:00 mchana hadi saa 11:00 Jioni.
Kuandikisha watoto wa miaka 3 hadi 5 wasiliana naBernadeta Kaiza namba (240) 704-5891.Kwa  umri wa miaka 6 na kuendelea, hata watu wazima  wasiliana na Asha Nyang’anyi namba (301) 793-2833.
...

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI DMV JUMAMOSI MARCH 28, 2015


Mwalimu Asha Nyang'anyi akiwafundisha kiswahili watoto wa wazazi wa Tanzania wanajifunza kuzungumuza ikiwemo kusoma na kuandika lugha ya kiswahili katika Darasa la kiswahili linaloendelea kila siku ya Jumamosi kuanzia saa 9 alasiri mpaka saa 12 jioni Silver Spring, Maryland na darasa likiwa chini ya Jumuiya ya Watanzania DMV. Watoto wa wazazi wa Kitanzania wakifuatilia somo la Kiswahili. Wanafunzi wa darasa la Kiswahili wakiwa darasani. Mwalimu Asha Nyang'anyi akiwapa somo la lugha ya...

 

10 years ago

Habarileo

Mwinyi ataka sayansi ifundishwe Kiswahili

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka walimu wa shule za sekondari nchini kutoogopa kufundisha wanafunzi wao masomo ya sayansi kwa lugha ya Kiswahili, kwa kuwa inawezekana na wataelewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani