Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee Mwinyi ahutubia wadau wa Kiswahili Washington DC

Ifuatayo ni hotuba ya Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Ali Hassan Mwinyi alipohutubia mkutano wa nne wa Chama cha Ukuzaji Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) uliofanyika tarehe 23 Aprili 2015 katika Chuo Kikuu Cha Howard jijini Washington DC
KARIBU


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’

Lugha ya Kiswahili ni tunu iliyositirika kwetu, haina budi kuenziwa. Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ni mfano mzuri na wa kuigwa katika kukienzi Kiswahili.

 

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Hotuba ya Mzee Mwinyi alipokutana na waZanzibar Washington DC

Untitled 11

Hii ni Clip fupi ya Hotuba ya Mzee Ali Hassan Mwinyi alipokutana na waZanzibar Washington DC, mwazo Mwenyekiti wa Zanzibar Diaspora Association (ZADIA) Omar Haji Ally aongea machahe ya kumkaribisha Mzee Mwinyi, katika Chakula cha usiku kilichoandaliwa rasmi na ZADIA Siku ya Jumapili April, 26, 2015, kwenye ukumbi wa Tabeer Hall iliopo Maryland Nchini Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JAKAYA KIKWETE AHUTUBIA WILSON CENTER WASHINGTON, DC

   
Video ya hotuba ya Rais Jakaya Kikwete alipohutubia Wilson CenterAndrew Selee Makamu wa Rais Wilson Center akimwelezea Rais Jakaya Kikwete kabla hajamkaribisha kuhutubia wadau kutoka nchi mbalimbali waliojitokeza kwa wingi siku ya Ijumaa April 3, 2015 Wilson Center iliyopo Washington, DC.Rais Jakaya Kikwete akihutubia Wilson Center mchana wa siku ya Ijumaa April 3, 2015 jijini Washington, DC.Wadau kutoka nchini mbalimbali wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete alipokua ahihutubia Wilson...

 

10 years ago

Habarileo

Mwinyi ataka sayansi ifundishwe Kiswahili

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka walimu wa shule za sekondari nchini kutoogopa kufundisha wanafunzi wao masomo ya sayansi kwa lugha ya Kiswahili, kwa kuwa inawezekana na wataelewa.

 

10 years ago

IPPmedia

Teach science in Kiswahili, former president Mwinyi says.


IPPmedia
Teach science in Kiswahili, former president Mwinyi says.
IPPmedia
Former president Ali Hassan Mwinyi yesterday called for Kiswahili to be adopted in schools, especially in teaching of science subjects. “Education plays important role in economic development and there is a need to prioritise Kiswahili in the teaching ...

 

10 years ago

Habarileo

Mwinyi ahamasisha uandishi wa vitabu kwa Kiswahili

RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi amewataka wanazuoni kuandika vitabu vingi kwa lugha ya Kiswahili, kuwasaidia Watanzania kuelewa maudhui ya vitabu hivyo pamoja na kuchangia maendeleo ya nchi.

 

10 years ago

Michuzi

ALHAJ MWINYI: FUNDISHENI SAYANSI KWA KISWAHILI

 Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akisisitiza jambo wakati akifungua Maonyesho ya 5 ya Sayansi kwa wanafunzi wa shule za sekondari nchini katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.  Mkurugenzi Mtendaji wa Young Scientists Tanzania (YST) Dk. Gosbert Kamugisha akimtambulisha Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi kwa Balozi wa Kenya nchini Tanzania Chirau Ali Mwakwere kabla ya kufungua maonyesho hayo mwishoni mwa wiki.
Na Daniel Mbega wa brotherdanny.comRAIS mstaafu wa awamu ya pili,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani