Hotuba ya Mzee Mwinyi alipokutana na waZanzibar Washington DC
![](http://img.youtube.com/vi/gqQt2LK3rIs/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/gqQt2LK3rIs/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
VIDEO: Hotuba ya Mzee Mwinyi alipokutana na waZanzibar Washington DC
Hii ni Clip fupi ya Hotuba ya Mzee Ali Hassan Mwinyi alipokutana na waZanzibar Washington DC, mwazo Mwenyekiti wa Zanzibar Diaspora Association (ZADIA) Omar Haji Ally aongea machahe ya kumkaribisha Mzee Mwinyi, katika Chakula cha usiku kilichoandaliwa rasmi na ZADIA Siku ya Jumapili April, 26, 2015, kwenye ukumbi wa Tabeer Hall iliopo Maryland Nchini Marekani.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vVfATLlyzm4/VTmuLhNx1XI/AAAAAAAAIPY/YD55I_RhIvU/s72-c/Snapshot(65).jpg)
Mzee Mwinyi ahutubia wadau wa Kiswahili Washington DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-vVfATLlyzm4/VTmuLhNx1XI/AAAAAAAAIPY/YD55I_RhIvU/s1600/Snapshot(65).jpg)
KARIBU
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Waziri Saada Mkuya wakati alipokutana na taasisi mbalimbali za fedha za kimataifa Washington DC
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya wa katikati akiwa pamoja na ujumbe kutoka Tanzania walipokutana na Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly walipokuwa wakijadiliana na kuangalia ni jinsi gani Tanzania imeweza kutekeleza sera za Shirika la fedha la Kimataifa mjini Washington DC.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa CITI na Mkuu wa Afrika kwa kundi la sekta ya utumishiwa umma Bw. Peter M. Sullivan...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-gv_Q-bjJxek/U97k-5zuVNI/AAAAAAAF8xc/kVi_uILid6Q/s1600/dm1.jpg)
RAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO WA DIASPORA JIJINI WASHINGTON
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/eeLXn2f3DIQ/default.jpg)
Hotuba ya Ismail Jussa Washington DC (Part2)
Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV, walioka meza kuu wakanza kushoto Katibu wa Tawi la Chadema DMV Liberatus "Libe" Mwangombe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Kalley Pandukizi, Shamis Alkhatry CUF pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la kina mama CHADEMA DMV Bi Baybe Mgaza.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7VTuiBdKnjM/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GkKchzUagKQ/U-APTDrqtNI/AAAAAAAAHQI/qfHRHEqLNMw/s72-c/dm69.jpg)
Hotuba Ya JK Kwa WaTanzania Washington DC. Aug 2, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-GkKchzUagKQ/U-APTDrqtNI/AAAAAAAAHQI/qfHRHEqLNMw/s1600/dm69.jpg)
Karibu kusikiliza hotuba ya Mhe. Dk Jakaya M Kikwete alipozungumza na waTanzania usiku wa Agosti 2, 2014 kwenye hotel ya Marriot, jijini Washington DC nchini Marekani.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s72-c/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
Miaka 90 ya Mzee Ali Hassan Mwinyi
![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s640/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)