Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hotuba Ya JK Kwa WaTanzania Washington DC. Aug 2, 2014



Karibu kusikiliza hotuba ya Mhe. Dk Jakaya M Kikwete alipozungumza na waTanzania usiku wa Agosti 2, 2014 kwenye hotel ya Marriot, jijini Washington DC nchini Marekani.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Hotuba ya Mhe Rais Uhuru Kenyatta kwa waKenya Washington DC. Aug 6, 2014

Mhe. Rais Uhuru Kenyatta akihutubia waKenya jijini Washington Aug 6, 2014Karibu kusikiliza hotuba ya Mhe. Uhuru Kenyatta alipozungumza na waKenya usiku wa Agosti 6, 2014 kwenye hotel ya Marriott Wardman Park Hotel, jijini Washington DC nchini Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Injili Washington DC [Aug 14 - 16 2015]

Kanisa la The Way of the Cross Gospel Ministries linapenda kuwaalika katika siku tatu za mkutano wa uamsho utakaofanyika hapa Washington DC.
Ni kati ya Agosti 14-16 2015

Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya ama Masanja Mkandamizaji alipohudumu kwa waumini wa jiji la Washington DC na vitongoji vyake siku ya Jumapili 07/07/2013 katika kanisa la THE WAY OF THE CROSS GOSPEL MINISTRIES

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Injili Washington DC Aug 14 — 16, 2015

Kanisa la The Way of the Cross Gospel Ministries linapenda kuwaalika katika siku tatu za mkutano wa uamsho utakaofanyika hapa Washington DC.

Ni kati ya Agosti 14-16 2015



Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya ama Masanja Mkandamizaji alipohudumu kwa waumini wa jiji la Washington DC na vitongoji vyake siku ya Jumapili 07/07/2013 katika kanisa la THE WAY OF THE CROSS GOSPEL MINISTRIES

 

11 years ago

Michuzi

Tamko Rasmi la watanzania wa Washington DC, Maryland na Virginia kwa Bunge la Katiba na Serikali


Sisi watanzania wa Washington DC, Maryland na Virginia pamoja na vizazi vyetu tunapenda kutoa pongezi kwa Serikali yetu ya Tanzania kwa Mchakato mzima wa Katiba mpya unaoendelea.


Tunapenda Kutoa Tamko Rasmi kwa Bunge la Katiba na Serikali kutoa haki ya Uraia kwa Watanzania Wote popote walipo Duniani. Uraia Wa Mtanzania aliezaliwa Tanzania na Kizazi chake usijali hali na mahala alipo Mtanzania Huyo.


Kutokubaguliwa kwetu kwenye swala hili la Haki ya Kuzaliwa na Kuruhusiwa kwa Uraia Pacha...

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba ya Ismail Jussa Washington DC (Part2)



Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV, walioka meza kuu wakanza kushoto Katibu wa Tawi la Chadema DMV Liberatus "Libe" Mwangombe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Kalley Pandukizi, Shamis Alkhatry CUF pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la kina mama CHADEMA DMV Bi Baybe Mgaza.

 

10 years ago

The Aviation Herald

Safari Express F27 at Serengeti on Aug 31st 2014, missing aircraft found crashed


The Aviation Herald
Safari Express F27 at Serengeti on Aug 31st 2014, missing aircraft found crashed
The Aviation Herald
A Safari Express Cargo Fokker 27-500 Friendship, registration 5Y-SXP performing a cargo flight from Mwanza (Tanzania) to Nairobi (Kenya) with 3 crew, had just reached cruising level 140 following departure at 19:26L (16:26Z) when radio contact with the ...
Kenya bound Tanzania plane wreckage found, no survivorsStarAfrica.com
Missing Safari Express plane found crashed in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani